Habari za kutembeza kichapo siyo vyema, utampigaje mkeo??Yani kwanza unaanzaje kumpiga mwandani wako? Tabia ya ajabu sana hii!!
kama ametoka nje ya ndoa&kulala na mwanaume mwingine na umeumia, muache endelea na maisha yako!! Period!!
Angekuwa mwanaume ndo kafanya hicho kituko, angeshasamehewa. Lakini kwa vile ni mwanamke, unaambiwa muache. Tabia ni chafu.... ila msamaha nao muhimu. Mkae na wazee muyajadili.