Mke wangu amenisaliti kwa ushahidi wa mazingira, nifanye nini?

Hiyo ndoa ni ya Kiislam, sina kimwana

Pole sana mkuu, inauma sana hasa pale unapokuwa mwaminifu kwa mwenzako lkn mwenzako hawi mwaminifu kwako. Nadhani mimi nipo upande wako zaidi kwa jinsi nitakapohisi au kusikia au kuona kuwa mwenzangu ananisaliti. Hakika nitaumia sana na ninaweza kuchukua uamuzi mbaya sana. Sijui ninaweza kuchukua uamuzi gani maana naomba yasinikute maana sijielewielewi vizuri ktk jambo kama hili.

Ninachoweza kusema ni wewe kuyatazama maisha yako upya kabisa, jinsi ulivyosimama na pia fikiria kama wewe ndio uko kwenye hilo anguko. Je, hali ingekuweje. Mshirikishe Mungu zaidi kwa jinsi ninavyokuona ni kijana uliyeshika vizuri imani yako ya kiislamu. Hata kama kuna utaratibu wa kuachana ambapo imani husika inauruhusu lkn bado wewe unanafasi pekee ya kuridhia jambo hilo. Usifanye uamuzi kwa hasira, tulia na ikibidi ufunge kwa ajili ya hilo na uwashirikishe wakuu wako wa kiimani. Naamini watakushauri vizuri.

Kumbuka maisha atakayoishi mwanao pindi utakapotengana na mama yake kwa kufanya uamuzi wakati una hasira. Utaoa mwanamke mwingine na hali usidhani itakuwa tofauti pengine ni zaidi ya hayo au pengine ukabahatika kumpata mwaminifu lkn ukweli ni kuwa huwezi kujua.
Pengine mwenzako alighaflika kidogo lkn sivyo alivyo. Kumbuka kati ya kiumbe kilichozaliwa na m/ke hakuna kilichokosa udhaifu, wote tuko sawa ndio maana kwa Mungu kuna msamaha.

Mwisho, kukubali kuishi maisha ya ndoa kuna changamoto zake, haijalishi imuishi miaka mingapi. Je, hayo yangekutokea mkiwa mmeishi mfano miaka 25 ya ndoa yenu ungefikiria uamuzi gani? Au kwa sababu leo una nguvu ya kuoaa mwingine na bado watakupenda; ktk umri huo huoni ni tofauti? Sipingi talaka ktk imani zetu bali nasema tusitumia hasira au jazba ktk kutoa talaka tafakari sana.

Mimi ni mkristo, sipingi mafundisho wa Mtume maana ni mtume wa Mwenyezi Mungu hata kama mafundisho ninayopewa hayanitumii huko lkn nina imani kuwa wote wanaofuata mafundisho yake ni wengi na ni watu wazima wenye akili zao nzuri tu kama Wakristo. Kwa maana hiyo kama kijana wa kiislamu una imani thabiti: tulia, tafakari sana na mpe Mungu nafasi ktk kufunga kwa ajili ya matatizo yako. Nina imani kuwa Mungu atakupa jibu na utalitatua jambo hili vizuri sana.

Pole sana kijana mwenzangu na poleni wanawake ambao pia haya yanawakuta kwenye maisha yenu.
 
huyo hapo huna chako mkuu, na alipokimnilia kulala alikuwa anakukwepa, yaanii hata kukuona alikuwa hataki
 
Kabla ya kukushauri cha kufanya naomba kujua kitu kimoja. JE WEWE HUKO DAR masomoni hujakuwa na mtu? I know you have the answer inside your heart, then i would suggest that whatever punishmentt you wish to apply should correspond with the answer of my question and not a SPEAR FOR A PIG BUT PAINFUL TO THE HUMAN BEING
 
Kabla ya kukushauri cha kufanya naomba kujua kitu kimoja. JE WEWE HUKO DAR masomoni hujakuwa na mtu? I know you have the answer inside your heart, then i would suggest that whatever punishment you wish to apply should correspond with the answer of my question and not a SPEAR FOR A PIG BUT PAINFUL TO THE HUMAN BEING
 
Kabla ya kukushauri cha kufanya naomba kujua kitu kimoja. JE WEWE HUKO DAR masomoni hujakuwa na mtu? I know you have the answer inside your heart, then i would suggest that whatever punishmentt you wish to apply should correspond with the answer of my question and not a SPEAR FOR A PIG BUT PAINFUL TO THE HUMAN BEING
Utaambiwa baiolojia
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwa jinsi hii bado kuna mtu anasema simu ni ya mtu mmoja kwenye ndoa! Jamani tutakwisha na taifa kubaki na yatima tuuu.
<br />
<br />

Natamani ningeishi enzi hizo za cm kutokuwapo. Jamani, wazinzi wanapenda sana hiyo quote. Kwani kiapo cha mwili mmoja kinatoa exception ya simu? Sijaona kwenye misahafu.
 
kaka uyo kesha megwa! keshaliwa! tena kama unammega kistaarabu mwenzio itakuwa anaruka ukuta kabisa, pole sana kaka, wewe umefanikiawa kuona msg ya mmoja ila jua kuna wengi wanakumegea! kwann hakukuambia kama kuna mtu anamtongoza ila ulipofumania msg akakwambia hajamegwa! tena cku aliyolala mapema alikuwa ametoka kuikalia kaka, uyo hakufai ndo zake! ameshakuwa demu wa kitaa kila mtu anamega, wewe utaamua kula makombo ya washkaji au kuacha, kazi ni kwako na kcheche chako, kama haujazaa nacho au kufunga ndoa nacho we piga chini, na kama ulimpiga ndo umempa umaarufu mshkaji anamkanda kwa kwenda mbele na kula nae mema ya nchi. ful makamuz kutwa mara 4. tena inawezekana amelala kwa msela. fanya maamuzi magumu kijana wacha kulia wakati mzigo mzito umeubeba mwenyewe, ubwage tu.
 
kaka uyo kesha megwa! keshaliwa! tena kama unammega kistaarabu mwenzio itakuwa anaruka ukuta kabisa, pole sana kaka, wewe umefanikiawa kuona msg ya mmoja ila jua kuna wengi wanakumegea! kwann hakukuambia kama kuna mtu anamtongoza ila ulipofumania msg akakwambia hajamegwa! tena cku aliyolala mapema alikuwa ametoka kuikalia kaka, uyo hakufai ndo zake! ameshakuwa demu wa kitaa kila mtu anamega, wewe utaamua kula makombo ya washkaji au kuacha, kazi ni kwako na kcheche chako, kama haujazaa nacho au kufunga ndoa nacho we piga chini, na kama ulimpiga ndo umempa umaarufu mshkaji anamkanda kwa kwenda mbele na kula nae mema ya nchi. ful makamuz kutwa mara 4. tena inawezekana amelala kwa msela. fanya maamuzi magumu kijana wacha kulia wakati mzigo mzito umeubeba mwenyewe, ubwage tu.
 
du maliza shule best kisha mkapime muanze upya samehe tu kwani na ww hapo hall 1 au 7 hukuwa unaenda kushinda huko?? mm nakufahamu hilo hujasema. nahisi nae alijua hilo akaona nae apate pa kujisitiri sio ww ufaidi peke yako. waza maisha ya wanao wataishije kama ukamwacha mama yao na usijiangalie ww mwenyewe. kwa dalili hizo ni kuwa analiwazwa na huwa wanajifanya kuumwa ili usije ukamtaka usiku huo kwani ameshachoka huko nje. maisha ya ndoa ndio hayo.pole,
 
du maliza shule best kisha mkapime muanze upya samehe tu kwani na ww hapo hall 1 au 7 hukuwa unaenda kushinda huko?? mm nakufahamu hilo hujasema. nahisi nae alijua hilo akaona nae apate pa kujisitiri sio ww ufaidi peke yako. waza maisha ya wanao wataishije kama ukamwacha mama yao na usijiangalie ww mwenyewe. kwa dalili hizo ni kuwa analiwazwa na huwa wanajifanya kuumwa ili usije ukamtaka usiku huo kwani ameshachoka huko nje. maisha ya ndoa ndio hayo.pole,
Eti kina klorokwin na babu asprin wanasema baiolojia zenu zinawaruhusu
 
ndio shantel kwenu hairuhusiwi lakini sisi ndio utamaduni ruksa tunakuwa tumeteleza tu lakni kwa nyie lol aibu kwa jamii yote
 
Hivi unafkiri hata kama kasex nae angekwambia? subutu! kwanza, nenda kapime. Pili, fanya tathmini ya hali itakavyokuwa ukiamua kumuacha na ukiamua kumsamehe.
 
Pole sana mkuu, inauma sana hasa pale unapokuwa mwaminifu kwa mwenzako lkn mwenzako hawi mwaminifu kwako. Nadhani mimi nipo upande wako zaidi kwa jinsi nitakapohisi au kusikia au kuona kuwa mwenzangu ananisaliti. Hakika nitaumia sana na ninaweza kuchukua uamuzi mbaya sana. Sijui ninaweza kuchukua uamuzi gani maana naomba yasinikute maana sijielewielewi vizuri ktk jambo kama hili.

Ninachoweza kusema ni wewe kuyatazama maisha yako upya kabisa, jinsi ulivyosimama na pia fikiria kama wewe ndio uko kwenye hilo anguko. Je, hali ingekuweje. Mshirikishe Mungu zaidi kwa jinsi ninavyokuona ni kijana uliyeshika vizuri imani yako ya kiislamu. Hata kama kuna utaratibu wa kuachana ambapo imani husika inauruhusu lkn bado wewe unanafasi pekee ya kuridhia jambo hilo. Usifanye uamuzi kwa hasira, tulia na ikibidi ufunge kwa ajili ya hilo na uwashirikishe wakuu wako wa kiimani. Naamini watakushauri vizuri.

Kumbuka maisha atakayoishi mwanao pindi utakapotengana na mama yake kwa kufanya uamuzi wakati una hasira. Utaoa mwanamke mwingine na hali usidhani itakuwa tofauti pengine ni zaidi ya hayo au pengine ukabahatika kumpata mwaminifu lkn ukweli ni kuwa huwezi kujua.
Pengine mwenzako alighaflika kidogo lkn sivyo alivyo. Kumbuka kati ya kiumbe kilichozaliwa na m/ke hakuna kilichokosa udhaifu, wote tuko sawa ndio maana kwa Mungu kuna msamaha.

Mwisho, kukubali kuishi maisha ya ndoa kuna changamoto zake, haijalishi imuishi miaka mingapi. Je, hayo yangekutokea mkiwa mmeishi mfano miaka 25 ya ndoa yenu ungefikiria uamuzi gani? Au kwa sababu leo una nguvu ya kuoaa mwingine na bado watakupenda; ktk umri huo huoni ni tofauti? Sipingi talaka ktk imani zetu bali nasema tusitumia hasira au jazba ktk kutoa talaka tafakari sana.

Mimi ni mkristo, sipingi mafundisho wa Mtume maana ni mtume wa Mwenyezi Mungu hata kama mafundisho ninayopewa hayanitumii huko lkn nina imani kuwa wote wanaofuata mafundisho yake ni wengi na ni watu wazima wenye akili zao nzuri tu kama Wakristo. Kwa maana hiyo kama kijana wa kiislamu una imani thabiti: tulia, tafakari sana na mpe Mungu nafasi ktk kufunga kwa ajili ya matatizo yako. Nina imani kuwa Mungu atakupa jibu na utalitatua jambo hili vizuri sana.

Pole sana kijana mwenzangu na poleni wanawake ambao pia haya yanawakuta kwenye maisha yenu.

Nashukuru sana GOBRET kwa mawazo yako na muda wako.
 
huyo hapo huna chako mkuu, na alipokimnilia kulala alikuwa anakukwepa, yaanii hata kukuona alikuwa hataki
<br />
<br />
wife mjanja akazuga kaumia mguu ili jamaa asahau kupewa kabisa siku ile aliogopa atakuta imetepeta.
 
sure, never ever
kama unalosema ni kweli basi hili swala linahitaji kikao na wazazi
wanawake wengine jamani, mtu umeolewa mumeo anakupenda unahangaika nini?
mie nakushauri mkae myamalize coz kuachana Mungu hapendi,ni pepo lilipita tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom