cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,322
walaaniwe wanaokeketa wanawake aisee hicho kiungo kina hisia nyingi zaidi hata ya huko ndani, mwishowe wanafanya k inakuwa ka mdomo usio na meno, inasikitisha sana, Mimi wazazi wangenikeketa ningewashtakiIla tunaweza tukachukua utani lakini ukweli ni kwamba, mwanamke mzuri kwenye mapenzi kama GITAA LA DIBLO DIBALA UTALIKUTA, tofauti na hapo ni hovyo kabisa.
Mimi nishakutana na demu wa aina hiyoo aisee kwa kifupi hana ladha, yaaan ile Mbunye INAKUWA kama pango flan lisilo na muelekeo