Alikuwa anatumia sindano wakuu..na utakuta akiingia bread ikimaliza mda mwingine nikifanya nae sex after first round anatokwa dam
Alikuwa anatumia sindano wakuu..na utakuta akiingia bread ikimaliza mda mwingine nikifanya nae sex after first round anatokwa dam
Siunajua binadam nduguHivi watu kwa nini hampendi kutumia lugha ya taifa ??ina maana hujui kama bread ni mkate??
Masindano ya uzazi yashaharibu system ya mwili, wahi hospitalNi miezi kama saba imepita tangu mke wangu aache kutumia sindano za uzazi but mpaka Leo hapati mimbaaa
We kibokoNenda hospitali nadhani mirija yake ya uzazi itakuwa imeziba na pia atakuwa na uvimbe kwenye kizazi kutokana na utumiaji wa vidonge vya majira pamoja na sindano.
Kama mkewangu nampenda kwa dhati kabisa siwezi kumruhusu atumie dawa yeyote ile kuzuia mimba tuna tumia njia ya kalenda na ina fanya vizuri kabisa ila kwa wale ambao wake zao kalenda haziko stable nadhan kuna namna isiyo na madhara itafutwe ili kum rescue mke wako na matatizo ya mbelen baada ya vidonge hivyo au sindano hizo.Ni miezi kama saba imepita tangu mke wangu aache kutumia sindano za uzazi but mpaka Leo hapati mimbaaa
Ila yupo sahihi kabisa hiyo ni miongon mwa madhara yatokanayo na matumiz ya njia hizo kuzui mimba.We kiboko