lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 401
- 366
Ikitokea akanuna kwa mambo ya kipuuzipuuzi tu mimi sina muda wa kumbembeleza mwanamke labda kwa mambo ya msingi sana.mwanamke ukimdekeza dekeza anakuwa na mambo ya kukera sana.
Mwanamke ukimuoa mdogo au mnaendana makamo usimbembeleze sana,mbembeleze mwanamke anayejua maisha kashakuwa mtu mzima kapitia mahusiano mengi sio hawa vitoto aisee wanatumia vibaya fursa hizi na kuanza kuleta mazoea ya ajabu ajabu.
Mwanamke hatakiwi kumnunia mumewe abadan ni sawa na mtoto kumnunia baba kwa lipi unanuna ? Dawa akinuna na wewe nuna tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ukimuoa mdogo au mnaendana makamo usimbembeleze sana,mbembeleze mwanamke anayejua maisha kashakuwa mtu mzima kapitia mahusiano mengi sio hawa vitoto aisee wanatumia vibaya fursa hizi na kuanza kuleta mazoea ya ajabu ajabu.
Mwanamke hatakiwi kumnunia mumewe abadan ni sawa na mtoto kumnunia baba kwa lipi unanuna ? Dawa akinuna na wewe nuna tu
Sent using Jamii Forums mobile app