Wadau Ilikuwa ni hatari kusikia Mwanamke anatukana Matusi kama MHSENGE na Nyoko" wakati mama mzazi wa mumewe anasikiliza na hatimaye akaamua kuaga hiyo familia na kuondoka arudishwe kijijini.
Mumeo akiwa amelala sms ikaingia kwenye simu aliyoiweka mezani sebuleni. Mke akaisoma na Kuingia Chumbani kutoa kichapo cha maana na kumung'ata Meno.
Kisa cha hayo yote ni sms aliyo ikuta kwenye simu ya Mumewe iliandika [" Uko wapi?, Nimekumiss sana, Usiku mwema]
Je, Mshahara wa hiyo sms ni kung'atwa memo na matusi?:angry:
Mumeo akiwa amelala sms ikaingia kwenye simu aliyoiweka mezani sebuleni. Mke akaisoma na Kuingia Chumbani kutoa kichapo cha maana na kumung'ata Meno.
Kisa cha hayo yote ni sms aliyo ikuta kwenye simu ya Mumewe iliandika [" Uko wapi?, Nimekumiss sana, Usiku mwema]
Je, Mshahara wa hiyo sms ni kung'atwa memo na matusi?:angry: