Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Mke Wa Zamani Wa Tiger Woods Anunua Nyumba Kwa Sh. Bilioni 19 Na Kuibomoa
Mke wa zamani wa mcheza golfu maarufu na tajiri duniani Tiger Woods, amenunua jumba la kifahari kwa zaidi ya shilingi bilioni 19 na kuamua kulibomoa ili ajenge upya jumba lingine la kifahari litakaloendana na hadhi yake.
Mwanamke huyo anayeitwa Elin Nordegen ambaye ni raia wa Swden aliinunua nyumba mwaka uliopita katika mji wa North Palm Beach katika jimbo la Florida nchini Marekani baada ya kuachana na Tiger Woods.
<ins style="display: inline-table; border-top-style: none; border-right-style: none; border-bottom-style: none; border-left-style: none; border-width: initial; border-color: initial; border-image: initial; height: 600px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; position: relative; visibility: visible; width: 160px; "><ins id="aswift_2_anchor" style="display: block; border-top-style: none; border-right-style: none; border-bottom-style: none; border-left-style: none; border-width: initial; border-color: initial; border-image: initial; height: 600px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; position: relative; visibility: visible; width: 160px; "><iframe allowtransparency="true" frameborder="0" height="600" hspace="0" marginwidth="0" marginheight="0" scrolling="no" vspace="0" width="160" id="aswift_2" name="aswift_2" style="left: 0px; position: absolute; top: 0px; "></iframe>
</ins></ins>
Picha Ikionyesha eneo ya lilipokuwa jumba hilo la kifahari ambalo hivi sasa limebomolewa kupisha uj
Ujenzi wa jumba lingine la kifahari.
Utajiri wa mwanamke huyo ambaye amezaa watoto wawili na Tiger Woods, ulitokana na malipo makubwa aliyopewa yanayofikia kiasi cha shilingi bilioni 159 ikiwa ni makubaliano ya wanandoa hao kutalikiana hapo Agosti 23, 2010.
Uvunjikaji wa ndoa yao ulitokana na mcheza golfu huyo kuwa na mahusiano ya nje ya ndoa na wanawake wengine mbalimbali.
Jumba hilo la kifahari linalovutia ambalo lilikuwa na ukubwa wa futi za mraba 17,000 huku likiwa na vyumba sita, vyoo vinane na bwawa la kuogelea.
Kweli baadhi ya watu wakiwa na pesa nyingi wanakuwa na jeuri katika maamuzi yao mbalimbali ya kimaisha.
Mke wa zamani wa mcheza golfu maarufu na tajiri duniani Tiger Woods, amenunua jumba la kifahari kwa zaidi ya shilingi bilioni 19 na kuamua kulibomoa ili ajenge upya jumba lingine la kifahari litakaloendana na hadhi yake.
Mwanamke huyo anayeitwa Elin Nordegen ambaye ni raia wa Swden aliinunua nyumba mwaka uliopita katika mji wa North Palm Beach katika jimbo la Florida nchini Marekani baada ya kuachana na Tiger Woods.
<ins style="display: inline-table; border-top-style: none; border-right-style: none; border-bottom-style: none; border-left-style: none; border-width: initial; border-color: initial; border-image: initial; height: 600px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; position: relative; visibility: visible; width: 160px; "><ins id="aswift_2_anchor" style="display: block; border-top-style: none; border-right-style: none; border-bottom-style: none; border-left-style: none; border-width: initial; border-color: initial; border-image: initial; height: 600px; margin-top: 0px; margin-right: 0px; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; padding-top: 0px; padding-right: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; position: relative; visibility: visible; width: 160px; "><iframe allowtransparency="true" frameborder="0" height="600" hspace="0" marginwidth="0" marginheight="0" scrolling="no" vspace="0" width="160" id="aswift_2" name="aswift_2" style="left: 0px; position: absolute; top: 0px; "></iframe>
Picha Ikionyesha eneo ya lilipokuwa jumba hilo la kifahari ambalo hivi sasa limebomolewa kupisha uj
Ujenzi wa jumba lingine la kifahari.
Utajiri wa mwanamke huyo ambaye amezaa watoto wawili na Tiger Woods, ulitokana na malipo makubwa aliyopewa yanayofikia kiasi cha shilingi bilioni 159 ikiwa ni makubaliano ya wanandoa hao kutalikiana hapo Agosti 23, 2010.
Uvunjikaji wa ndoa yao ulitokana na mcheza golfu huyo kuwa na mahusiano ya nje ya ndoa na wanawake wengine mbalimbali.
Jumba hilo la kifahari linalovutia ambalo lilikuwa na ukubwa wa futi za mraba 17,000 huku likiwa na vyumba sita, vyoo vinane na bwawa la kuogelea.
Kweli baadhi ya watu wakiwa na pesa nyingi wanakuwa na jeuri katika maamuzi yao mbalimbali ya kimaisha.