jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,076
- 684
Sisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
nadhan hii ingetumika pia kwenye nchi ya WENDAWAZIMU huenda tungeheshimiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
Sanatu tena alitakiwa awe alieharibu mbogamboga,wanaokula rambirambi na Bwanayule wa visasi kilakona.Chadema watashangilia
Si ndio CCM mlivyo?Sisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
Ha ha ha! Chama cha mumewe ndio kwanza kimeingia madarakani baada ya kuwa upinzani kwa muda mrefu. Imagine!Sisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
Nina wasiwasi ukirudi tena utasema Chadema wamehusika !Chadema watashangilia
Ni namna ya wanyonge kufikisha ujumbe kwa watawala walioziba masikio wasisikie kilio cha wanyonge watawaliwa. Labda majibu ya dhuluma , manyanyaso na uonevu.Tatizo la viongozi wengi wa kiafrika hawatawali kwa hoja na wala hawakai madarakani kwa hoja. Zaidi sana ni kwa hila na mabavu. Ukitumia mabavu utaondolewa kwa mabavu. Nidy dawa ilyobakia ahdi wajirekebishe.!
Neno hoja linakuja kama funika kombe mwanaharamu aipite. Hakuna asiyejua ingawa sifahamu kwa nini mama wa watu kauawa. Bila shaka ni visasi kwa kumuumiza mtu mmoja aliye kariabu naye.
Upumbave na ubatili mtupu!
Hata Marekani jana kuna mshenzi kawapiga risasi wabunge. Haya ni matatizo ya binadamu, si ya Afrika.Sisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
Ni namna ya wanyonge kufikisha ujumbe kwa watawala walioziba masikio wasisikie kilio cha wanyonge watawaliwa. Labda majibu ya dhuluma , manyanyaso na uonevu.
Alikuwa Estranged.....meaning ameachikaWAmemuonea tu mama wa watu. Yawezekana hata yeye alikuwa kaiisoma namba vilevile.
Inawezekana bi mdogo pia anahusikaSisasa za kiafrika pasua kichwa wanashindwa kwenye hoja wao wanapiga risasi.
Walishaachana na Prime Minister toka mwaka 2012, afu akarudi kwa gia ya kumshitaki mahakamani mke mdogo ili yeye awe first lady
Chadema watashangilia