Una Maana gani ni Mke wa Kurithishwa?tunu pinda anabahati sana mana ni mke wa kurithishwa
Sina tatizo kwa Mama Pinda kuzindua chochote huko Korea maana yuko na mumewe Waziri mkuu na hivyo atakuwa apewa heshma kama Mke wa Waziri Mkuu. Nimeona picha kwenye blogu ya Michuzi na shida yangu ni vaa ya huyu mama hasa hicho kijitambaa alichozungusha kichwani. Anaonekana kama RAPA wa muziki! I think kuna 'National Emblem' kama ukikiangalia vizuri and that makes it look tacky. Hizi posho za mavazi wakubwa wakisafiri nje hapati huyu mama maana kwa jinsi alivyo kwenye picha ni dhahiri anahitaji msaada. Terrible!
Hata wake wa akina Nyerere, Msuya, Hayati Sokoine, Salim Ahmed Salim, nk wapo lakini hawakuwa na vimbelembele kama tuliwachagua wao kwa kura kutuongoza! Siku hizi mtoto wa Rais, Riz1, licha ya mali za kumwaga alizonazo, anatumia influence ya baba yake kushinikiza masuala mbalimbali ndani ya nchi/chama! Afadhali kule Iringa walikatimua mbio!Una lako na mzee Mwinyi, kwani neno "First Lady" kalianzisha yeye? na kama dunia nzima inatambua kuwa mke wa rais ni first lady kwa nini wewe ushangae. nini maana ya first lady, si ndio mwanamke bora kuliko wote katika nchi hiyo, hapo maana yake hakuna hawa ghasia wala makinda hao wote wapo mbali huko. huenda wakawa10th lady huko.mke wa waziri mkuu ni 2nd lady, yaani ni bora kuliko mawaziri wote wanawake na wengine wenye vyeo mbalimbali ukimtoa 1st lady. sasa kama makinda tu ambae si first wala second ana sauti serikalini je first na second si wanaweza hata kumfukuza kazi.
Nijiavyo mimi, mkewa kiongozi anayetambuliwa kitaifa ni mke wa rais, japokuwa utambulisho wake ni wa kikatiba. Huyu ndiye ambaye angalau akisafiri na mumuwe anatakiwa kulipwa posho ya safari kama anayolipwa mumewe. Wengine wote hawatambuliki.
Lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?
Nijiavyo mimi, mkewa kiongozi anayetambuliwa kitaifa ni mke wa rais, japokuwa utambulisho wake ni wa kikatiba. Huyu ndiye ambaye angalau akisafiri na mumuwe anatakiwa kulipwa posho ya safari kama anayolipwa mumewe. Wengine wote hawatambuliki.
Lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?
nijiavyo mimi, mkewa kiongozi anayetambuliwa kitaifa ni mke wa rais, japokuwa utambulisho wake ni wa kikatiba. Huyu ndiye ambaye angalau akisafiri na mumuwe anatakiwa kulipwa posho ya safari kama anayolipwa mumewe. Wengine wote hawatambuliki.
lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri mkuu mizengo pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?
Nijiavyo mimi, mkewa kiongozi anayetambuliwa kitaifa ni mke wa rais, japokuwa utambulisho wake ni wa kikatiba. Huyu ndiye ambaye angalau akisafiri na mumuwe anatakiwa kulipwa posho ya safari kama anayolipwa mumewe. Wengine wote hawatambuliki.
Lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?
a JAMANI MAMA PINDA MZALENDO KWELI. KILE NI KIBANIO CHA NYWELE KILCHOTENGENEZWA KWA RANGI ZA BENDERA YA TZ. KAPENDEZAAAAA.
Mmmmh, bora tujadili hoja iliyopo na si habari ya kumuogopa MUNGU.Give me a break man.Kama umeishiwa hoja kaa kimya usinifananishe na wajinga unaowajua na kuwafikiria.Nilitembea na unaemuita Boyfriend wangu kwa pesa yetu tuliyoifanyia kazi wenyewe na si kodi ya mtanzania yeyote.
Yale yalikuwa mapato halali niliyoyafanyia kazi na ilikuwa ni kwa faida yako na ukoo wako wananchi wa kijiji chako wanalia na umasikini,maradhi na umasikini.Watu mmekuwa masikini wa akili kupita maelezo yanavyoelezea, mnatetea upuuzi usiokuwa na kikomo wakati ndugu zenu wanalia na kusaga meno.
Linalozungumzwa ni matumizi mabovu ya fedha za walipa kodi.Tafuta wapi nimetumia fedha ya chama mimi kama mimi.lete ushahidi hapa ndiyo uondelee kuongea upuuzi.
kuwa na akili yenye miguu miwili inayoweza kutembea na kuonyesha muelekeo,mmekuwa ni watu wa kutetea na kuandika mambo yasiyo na macho kwasababu tu mmpewe kazi acheni kuwa vibaraka,muogopeni Mungu.
Not only that nenda kajifunze suala la mahusiano urudi hapa uandike upuuzi wako.
Wewe ndo unabore, nani amesema chadema au ccm? Watu anajadili kama ni halali wake wa viongozi wetu kutumia rasimali za nchi kana kwamba na wao ni viongozi.Chadema inakuhangaisha sana mzee? Pole maana ndiyo hali halisi huwezi kuzui maji ya mto yatakuzoa tu.Jadili mada acha kubwatuka! Ukiona watu wanafatilia issue ndogo kama hizi mkuu ujue wamechoka na viongozi hawa. Wangekuwa ni viongozi wanaotimiza wajibu wao hamna mtu angefatilia vitu kama hivi maana vingekuwa vimefunikwa na mazuri mengi! Sasa hivi mkuu mabaya ya viongozi ndo yanayoangaliwa zaidi kuliko mazuri yao maana mabaya ni mengi zaidi.Poleni maana hamna pa kutokea mnatoa macho tukama mjusi aliyebanwa na mlango! Mtachemka sana kwa sababu wenzenu wamewazidi welevu wa kila kitu. Nendeni mkakope akili la sivyo safari yenu ni ngumu sana.Tuache uzembe wa kufikiri, tujadili mambo ya maana, mara kitambaa kichwani, mara posho za mke wa waziri mkuu, mara Faizafoxy kakosea... hivi mnataka muda wote , watu woote tusifie chadema na mimba ya Josephine!!!! Mnaboa saaaaana