Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nijiavyo mimi, mkewa kiongozi anayetambuliwa kitaifa ni mke wa rais, japokuwa utambulisho wake ni wa kikatiba. Huyu ndiye ambaye angalau akisafiri na mumuwe anatakiwa kulipwa posho ya safari kama anayolipwa mumewe. Wengine wote hawatambuliki.
Lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?
Lakini hapa nchini kumezuka ugonjwa wa wake wa viongozi kujifanya nao ni viongozi. Mara utasikia mke wa waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara mke wa makamu wa rais na kesho tutasikia mume wa spika. Jamani mke wa waziri mkuu ana nafasi gani katika nchi, hadi asafiri nje ya nchi kwa fedha za umma na kupata fursa ya kuhutubia mikutano kwa niaba ya yetu sisi?