Jamani wadau nisaidieni kwa hili mimi ni house boy nimetolewa kijijini kuja kulisha mifugo ya bosi wangu hapa dar lakini huyu shemeji yangu yaani mke wa bosi wangu ameshanionyesha dalili zote za kunitaka kimapenzi na ameniahidi kuwa ataniamisha na kunitafutia mahali pa kukaa kuliko kusubirli mshahara wa sh 60,000 kwa mwez, na huyu shemeji yangu ameniahidi kunipeleka shule na ameniambia nikithubutu kusema kwa bosi ndio nitajiweka katika hali ngumu zaidi na nitafukuzwa kama mbwa hapa nilipo hii kozi ya computer kanipeleka yeye na kaniahidi nikikubaliana naye atanifanyia mengi mazuri na kinachoniumiza zaidi bosi wangu alishaniambia mwisho wa kazi yangu ni mwezi wa kumi na mbili mwaka huu alinieleza tangu ananichukua nyumbani sasa wadau nipeni ushauli kuhusu huyu shemeji yangu nifanyeje