Mke wa Rais Zuma Ala Uroda na Mlinzi Wake

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
Mke wa Rais Zuma Ala Uroda na Mlinzi Wake
4583822.jpg

Mke wa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli Friday, June 04, 2010 2:40 PM
Familia ya mke wa pili wa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma imelazimika kumlipa Zuma fidia ya mbuzi mmoja mweupe baada ya kugundulika kuwa mke huyo wa rais Zuma aliisaliti ndoa yake na kula uroda na mlinzi wake. Utata upo kwenye ujauzito alio nao hivi sasa mke huyo wa rais. Imegundulika kuwa mke wa pili wa rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, Nompumelelo Ntuli alifukuzwa toka nyumbani kwa Zuma siku chache kabla ya krismasi baada ya kugundulika alimsaliti Zuma na kutembea nje ya ndoa.

Ntuli alimpa uroda mlinzi wake, Phinda Thomo mkazi wa Dobsonville, Soweto. Mlinzi huyo alijiua mwenyewe baada ya siri kufichuka kuwa ametembea na mke wa rais.

Ntuli ambaye hivi sasa yuko pamoja na Zuma katika safari ya kiserikali nchini India, ana mimba ya mtoto anayetarajiwa kuwa mtoto wa 21 wa Zuma. Hata hivyo maswali mengi yamezuka kuhusiana na ukweli wa baba wa mtoto huyo aliye tumboni mwake.

Taarifa zinasema kuwa Ntuli mwenye umri wa miaka 35 aliamua kufanya hivyo baada ya kukasirishwa na hatua ya Zuma kutangaza kuoa mke wa tatu.

Taarifa zaidi zinasema kwamba Ntuli alimtukana mke wa tatu wa Zuma Tobeka Madiba na pia alitishia kutohudhuria harusi yake iliyofanyika mwezi januari mwaka huu, hata hivyo alibadilisha uamuzi wake na kuhudhuria harusi hiyo lakini alifukuzwa na kurudishwa kwao wakati wa sherehe za kitamaduni za harusi hiyo.

Ntuli alisindikizwa na wazee wa kijadi hadi kwenye nyumba ya familia yake ambapo alikabidhiwa kwa wazazi wake.

Ntuli aliambiwa kuwa kitendo chake cha kuisaliti ndoa yake kimeikasirisha familia ya Zuma na mizimu ya mababu.

Ili kuweka mambo sawa mwezi aprili mwaka huu, familia ya Ntuli ilienda kwa mzee Zuma na kumlipa fidia ya mbuzi mmoja mweupe ambaye alichinjwa siku hiyo hiyo.

Habari za Ntuli kumsaliti Zuma zimeigawanya Afrika Kusini ambapo watu wengi wanampongeza Ntuli wakisema kuwa kama Zuma anazisaliti ndoa zake kwanini wake zake nao wasimsaliti.

Mmoja wa watu waliopiga simu redioni kujadili suala hilo alisema kuwa Zuma ambaye hivi sasa ana umri wa miaka 68 hayawezi tena mambo ndio maana mke wake ametembea nje.
 
hao wake ni wengi lazima watu wamkanyagie, vipi HAJAMFUNGA HUYO JAMAA KIFUNGO CHA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE?, AMESHINDWA KUPATA SOMO KWA SWAHIBA
 
hao wake ni wengi lazima watu wamkanyagie, vipi HAJAMFUNGA HUYO JAMAA KIFUNGO CHA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE?, AMESHINDWA KUPATA SOMO KWA SWAHIBA

Kifungo cha maisha kitoke wapi wakati mlinzi kajiua mwenyewe baada ya siri kufichuka?

Ila Zuma naye kazidi jamani, acha watu wamtafunie !!
 
Niliwahi kusema wakati uleeeee ametangaza anaoa. Tukubali tukatae ukifika umri nguvu hamna tena jamani, na wanawake wenyewe wadogo mwisho wanakudharau mzee mzima. Huyo tu imejulikana lakini anamegewa kila siku utakuta....
 
Huyo maza wala sioni kosa lake. Kama Zuma anamega sana hadi kubaka (kumbuka alikuwa na kesi ya kubaka na kwenye trial alisema eti alipomaliza kummega huyo demu aliyedai kabakwa Zuma akaosha mboli na maji ili asipate virusi..SMH). Kwanza huyo maza hata mimi ningemmega...ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona...shiiit...mcheki alivyo....
 
Huwezi kuwa na wake wengi hivyo halafu
wote wawe waaminifu kwako.......
 
JACOB ZUMA's Names & decodes

J u s t
A n o t h e r
C r e a t o r
Of

Babies

and

Z e r o
U nderstanding of
M a r r i a g e and
A i d s
 
What is life? Huyu jamaa varieties ndo vinampatia raha. Let him enjoy his life. Ndiyo wasouth africa wanapenda. That is why they brought him into power!!! Ili awaonyeshe njia. After all hiyo ndiyo asili ya mwafrica!!! Oa unavyoweza as far as unaweza kuwatunza "things fall apart"
 
Mhh, makubwa haya!

Halafu huyo mlinzi nna mashaka kama alijiua, maana infidelity mara nyingi huambatana na mauaji.
 
hao wake ni wengi lazima watu wamkanyagie, vipi HAJAMFUNGA HUYO JAMAA KIFUNGO CHA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE?, AMESHINDWA KUPATA SOMO KWA SWAHIBA

Huwezi kuwa na wake wengi hivyo halafu
wote wawe waaminifu kwako.......

....Mswati naye mnh, sijui! ...'amewekeza' si mchezo kwa hao wenye vikofia vyenye ufito mweupe..


000099_248081.jpg
 
ukijua mumeo ni kiwembe,heshima nayo inapungua..mie hata simlaumu huyo dada...
 
Huwezi kuwa na wake wengi hivyo halafu
wote wawe waaminifu kwako.......
Pia huwezi kuwa na wake wengi hivyo halafu ukaweza kuwakata kiu kulingana na mahitaji yao lazima wasaidizi wawepo tu tusijidanganye.
 
Kwa mtindo huu Ukimwi hautaisha maana inawezekana ametembea na watu wengine zaidi ya huyo mlizi.
 
very gender partisan, yaani huyu mama ndio ataleta ukimwi how about Zuma aliyebaka mwenye ukimwi? kama hana ajabu sema hao wanawake wana roho ngumu sana kwao mali mbele kuliko uhai maana mtu uliyeyajua yote hayo bado unaende kuvua nguo? kweli wanawake majasiri
 
Second wife of Jacob Zuma 'had affair with bodyguard'

South Africa's president Jacob Zuma was facing fresh speculation over his private life last night after reports that his second wife had an affair with her bodyguard.



Mike Pflanz in Nairobi
Published: 10:00PM BST 04 Jun 2010


zuma1_1587307c.jpg
South African President Jacob Zuma (L) takes part in a dance during his traditional wedding to Tobeka Madiba (R), his fifth wife, at the village of Nkandla in northern KwaZulu-Natal Photo: REUTERS


Jacob-Zuma-Nompumelelo-Ntuli-2.jpg
Barack Obama and first lady Michelle Obama, South African president Jacob Zuma and his wife Nompumelelo Ntuli. Image: Jewel Samad AFP

==================================================================================

zuma-wives550.jpg




Indoda Emadodeni Sibili With His Well Fed Women!

Nompumelelo Ntuli Zuma is said to be pregnant with Mr Zuma's 21st child, but the allegations have raised questions over the baby's paternity.

A letter from "concerned family members" of Mr Zuma, claiming that one of his three current wives had cheated on him with Phinda Thomo, one of her bodyguards, was sent to the Zulu-language newspaper Ilanga.




Mr Thomo is understood to have since committed suicide, although a South African police spokesman refused to comment on the claim.

Mr Zuma, who returns to South Africa on Saturday after a state visit to India where he was accompanied by Mrs Ntuli Zuma, is said to be "furious" over the allegations.
Sources close to his office said the claims were false and designed to embarrass him ahead of the launch of the World Cup on Friday.

"The reports appear to be part of an ongoing and malicious campaign to undermine the right of the President and his family to privacy and dignity," said a statement from the Presidency.
Mr Zuma, 68, has been married five times.

Earlier this year he acknowledged that he had fathered a child with the daughter of Irvin Khoza, his close friend and the chairman of South Africa's World Cup organising committee.

During a visit to London in February, during which he met The Queen, he lashed out at British newspaper reports which branded him a "sex-obsessed bigot", demanding that "my culture should be respected".

Second wife of Jacob Zuma ’had affair with bodyguard’ - Telegraph

<H1>One of South African president Jacob Zuma's THREE wives 'cheats on him with bodyguard'
By Mail Foreign Service

Last updated at 8:54 AM on 4th June 2010

South African president Jacob Zuma was today facing fresh speculation over his personal life amid claims he had been cheated on by one of his wives.
Mr Zuma's second wife Nompumelelo, 35, allegedly had an extra-marital relationship with one of her bodyguards.
The claims were first made in South Africa's Ilanga newspaper and come as Mr Zuma prepares to play the global statesman when his country hosts the World Cup.

article-1283923-02A2C3C9000004B0-570_468x573.jpg
Zulu tradition: Jacob Zuma with second wife Nompumelelo Ntuli, right, who faces allegations of an affair, dances during their wedding at Nkandla in January 2008

Today Presidency spokesman Vincent Magwenya said the leader's officer would be making no comment on the matter.
Mr Zuma is currently on state visit to India with his second wife, one of his three spouses and official First Ladies.
But after the couple left South Africa on Wednesday Illanga published details of a letter in which it was claimed she had cheated on him with Soweto-born security guard Phinda Thomo.
The Zulu-language newspaper claimed the document had been sent to its office anonymously and signed by 'concerned family members'.
It reported that Thoma had committed suicide after the affair was revealed.
The claims about Mrs Zuma's alleged infidelity come a week after it was reported she was expecting a baby, believed to be Mr Zuma's 21st.
But Ilanga claimed the paternity of the baby was now in question.
A statement apparently issued by Zuma family spokesman Khulubuse Zuma last night denied the anonymous letter had been sent from any of the president's relatives and attributed the claims to unnamed political opponents.
The document, which was faxed to South Africa's Press Association, said: &#8216;The president's family is united in distancing itself from these malicious reports about the first lady Mama Nompumelelo MaNtuli.
&#8216;No member of the family could have been the source of this misinformation.
&#8216;It is particularly shameful and alarming that the president's political enemies have now taken to masquerading as members of his family who spread malicious innuendo about him and his family.'

Zulu Mr Zuma married Nompumelelo Ntuli, known affectionately as MaNutila, in 2008.
The couple have two children together and she is one of his three current spouses.
Today it was reported that the president intends to call an urgent family meeting when he returns to South Africa tomorrow.
The country's Times newspaper quoted an anonymous source who said Mr Zuma was 'deeply concerned' about the claims.

article-1283923-05A4869D000005DC-131_468x321.jpg
First (and second) ladies' club: Nompumelel, second from right, poses with other wives of world leaders, including Sarah Brown, at the 2009 G8 conference in Italy

The source said: &#8216;The president is deeply concerned about these allegations. &#8216;That is why the intelligence services and the police are now on this matter.
&#8216;As soon as he is back, he is going to have a family meeting with all his wives, children and other family members.
&#8216;He wants to know about the letter and how it ended up in the press.' The claims are the latest in a string of controversies to affect Mr Zuma's polygamous family.
In February he was forced to apologise to the nation after admitting he had fathered a child out of wedlock with the daughter of his friend Irvin Khoza, a senior figure in South Africa's World Cup organisation.
That scandal came on the eve of a state visit to Britain and led to angry exchanges between Mr Zuma and the British press over his behaviour.
Some commentators have previously hinted at problems within the Zuma household and alleged friction between his wives.
Mr Zuma, who has married five times in total, wed his most recent spouse Thobeka Madiba in January.
But Nompumelelo was conspicuously absent from the ceremony in his native KwaZulu-Natal province.
Earlier she had been seen jostling with Thobeka for a position next to the president when he was sworn in as state leader following his election in April 2009.
Mr Zuma, whose Zulu culture allows multiple marriages, is also wed to first wife Sizakele Khumalo and is believed to be engaged to another woman.
He has had two other marriages.
He divorced from cabinet minister Nkosazana Dlamini-Zuma in 1998 after the couple had four children together.
And he had five children with Kate Mantsho, who committed suicide in 2000.
Mr Zuma's return to South Africa this weekend will see him engaged in the final preparations for the World Cup.
Next Friday he is due to sit alongside dozens of world leaders and VIPs for the tournament's opening ceremony at the Soccer City stadium in Johannesburg.


Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/wor...cob-Zumas-wife-cheated-him.html#ixzz0pvDfXluK

</H1>
 
Zuma wants to meet paper over MaNtuli affair claims

Alex Eliseev | 6 Hours Ago


The newspaper that first published allegations of infidelity inside Jacob Zuma's family on Friday said the president has called them from India to request a meeting.

Durban-based Ilanga newspaper says it stands by its story, which claimed Zuma's second wife Nompumelelo Ntuli cheated on him with a bodyguard.

The Presidency says it will not dignify the gossip with a response, while the ANC and its alliance partners are also saying they will not comment on the family's private matters.

Content editor of the Zulu-language newspaper Thobile Nqumalo said Zuma, or at least someone from his office, called them on Thursday to request a meeting.

"There has been a response from the president himself from India," the editor said.

She said she was not at the office and is waiting for further word from the president's representatives about when, of if, the meeting will take place.

Nqumalo said after receiving the anonymous letter carrying the allegations the newspaper spoke to its own sources to verify the information.

The story made headlines on Friday, with various new allegations about MaNtuli's troubles within the family.

But the Presidency, the ANC and its alliance partners are all declining to speak about the allegations, which include a claim the bodyguard killed himself.

Zuma is due to return from a state visit to India on Saturday.

We've got more, says Ilanga
Alex Eliseev | 5 Hours Ago


President Jacob Zuma says allegations of his wife cheating on him are nothing but gossip - but the newspaper that started it all is promising more revelations.

Durban-based Ilanga newspaper says it stands by its story - which claimed Zuma's second wife was unfaithful and could be carrying her bodyguard's child.

The Presidency says Zuma will continue to focus on his state visit to India.

Zuma's office has issued a statement slamming the reports are a malicious invasion of his privacy.

The ANC and its alliances have declined to comment, saying it is a private family matter.

Ilanga says it did not only rely on an anonymous letter it received earlier this week. Content Editor Thobile Nqumalo says the newspaper verified the claims in the letter through its own sources.
Nqumalo says they are investigating more leads.

"We believe there's more [information] coming. We'll be out there hunting. It's not our duty to protect them if the information seems to be tangible."

Editor Eric Ndiyane also says there is still more to come.

Nqumalo also says Zuma, or someone from his office, contacted the newspaper and requested to meet its editors. However, a meeting has not yet been scheduled.

Zuma is due to return to South Africa on Saturday.


http://www.eyewitnessnews.co.za/articleprog.aspx?id=41086
04-06-2010-07-06-02_679555b.jpg

India's President Pratibha Patil (Right) shakes hands with President Jacob Zuma's wife Nompumelelo Ntuli Zuma as Indian Prime Minister Manmohan Singh (Left) and Zuma (2nd Left) talk during the ceremonial reception at the presidential palace in New Delhi
Photograph by: B MATHUR
Credit: REUTERS
04-06-2010-11-06-00_679770b.jpg

South Africa's President Jacob Zuma (L) and his wife Nompumelelo Ntuli Zuma place a wreath at the Mahatma Gandhi memorial at Rajghat in New Delhi. Zuma is on a three-day state visit to India.
Photograph by: STRINGER/INDIA
Credit: REUTERS
 
Back
Top Bottom