Valentine's day huku kwetu Ni twa twa twa..Valentine is a time to spread love, thinking about people in need, about supporting each other with kindness.
Plus pombe Maisha yamekamilika tayariNdiyo maana Mjerumani alituwekea kodi ya kichwa na usipofanya kazi na kuilipa unachapwa viboko.
Tunachojua ni kula kucheza ngoma kulala na kujamiiana.
Kila watu na tamaduni zao
,,
Safi sana kama ni kweli.mm huwa ndo siku yangu ,ku show love kwa watt na watu wenye mazingira magumu ,imekuwa Kama utamaduni wangu Kila mwaka aise.Huwa na feel amani sana