Mke wa Rais naye kawa Kiongozi !????

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,006
2,165
Tunajiuliza na kushangaa kuona kwamba mke wa Rais sasa naye anafanya ziara nchi nzima bila mumewe.

Katiba yetu haimtambui mke wa Rais kama ilivyo kwa US. Inakuwaje huyu mama sasa anahangaika kuliko Makamu wa Rais? Anaweza akasikika kama atakuwa akiandamana na mumewe.

JK yabidi amu-kontroo mukewe bwana sisi hatukumchagua.
 
i mean she cant stay still in a box ... she wants to be recognized kwa lazima .. seems she has a lot of rivals so she wants to secure her position ... heard one time she nearly tripped on the red carpet because of mbwebwe ... she gombeyad some position in lindi jumbani kwao cant remember what .. she's the hungry type .. you remember when Amina (Mungu amrehemu) tried to advise her ... eeeeh she collected all her vidole juu group wakamponda mtoto wa watu ... guess if you can really read btn the lines you can tell it straight from her face on the telly wherever she appears
 
Najua hajakalia kiti chochote cha kiongozi ktk ofisi ya serikali lakini shughuli zote ni za kitaifa. Hata kufungua darasa la vidudu. Hapo ana walinzi wa serikali na wanatumia pesa ya umma.

Hujasikia waziri akimuwakilisha mke wa Rais?
 
Huyu mama sasa anamfunika makamu wa Rais,yawezekana kuna posho naye analipwa anakozunguka asingeweza kuzunguka bure.Lakini gharama tujue zinaongezeka kwani itabidi kuwe na msafara posho kwa walinzi n.k.
 
she is the vidole juu type ... kila kitu yeye .. utamwambia nini

Tangu ajue kusoma hotuba kwa KiEnglish na kupunguza kuongea kama mwalimu wa nursery school she is too much.
mwache afanye kazi zake akusanye kusanye kidogo vijisenti.
Kila la heri mama.
 
Hahahaha ila ile soma yake hotubaa duu namkumbuka mwl wangu wa darasa la Pili....Nimemsikia Mama Tunu Pinda jamani ana upeo mkubwa sana wa kuchambua na kujibu mambo ya kijamii..nikasema kumbe hawavumi lakini yuko juu.....huyo mama nae haya ngoja tuone mwisho wake au anataka ya Hillary?hahaha
 
unakumbuka na Regina Lowasa nae alivyokuwa anafunika? sasa hivi chali... maskini sijui mama wa watu kapotelea wapi. kumbuka msemo wa mbowe.."nyuma ya mwanaume fisadi.........."
 
i mean she cant stay still in a box ... she wants to be recognized kwa lazima .. seems she has a lot of rivals so she wants to secure her position ... heard one time she nearly tripped on the red carpet because of mbwebwe ... she gombeyad some position in lindi jumbani kwao cant remember what .. she's the hungry type .. you remember when Amina (Mungu amrehemu) tried to advise her ... eeeeh she collected all her vidole juu group wakamponda mtoto wa watu ... guess if you can really read btn the lines you can tell it straight from her face on the telly wherever she appears

Do you have anything against Her Execellency the First Lady?Actually am not sure if she is the first lady or the last lady coz so many rumors of First Ladies here in Arusha.
 
Wa kufuata sheria yuko wapi?
Hapa watu wanatetea unga tu.
ukibisha kazi huna, ukizingatia umeajiriwa kwa msaada wamtu ambaye ameshastaafu!
 
Kumbuka ni nature ya mwanamke ambaye unamletea wapinzani nyumbani I mean POLYGAMY nae kujitutumua ili aonekane kuwa yeye ni first Lady na si vinginevyo!
Ivi uarabuni kuna mambo ya first Lady kweli?
Manake kama unaruhisiwa wake wanne inakuwaje?
 
Huyu ni mama wa kiswahili kama walivyo waswahili wengi, hupenda kujionyesaha, kutamba nk. Hapa mjini anatusumbua sana na misafara isiyoisha utadhani naye ni kiongozi, lakini inawezekana hawezi kusafiri na mmewe kwani inasemekena mapenzi kati yao yalishafifia siku nyingi, wakiwa pamoja ni maigizo tu!
 
Do you have anything against Her Execellency the First Lady?Actually am not sure if she is the first lady or the last lady coz so many rumors of First Ladies here in Arusha.

No No Kevo ...eeh i swear ... ila ananikera kwa ushamba tu
 
Huyu ni mama wa kiswahili kama walivyo waswahili wengi, hupenda kujionyesaha, kutamba nk. Hapa mjini anatusumbua sana na misafara isiyoisha utadhani naye ni kiongozi, lakini inawezekana hawezi kusafiri na mmewe kwani inasemekena mapenzi kati yao yalishafifia siku nyingi, wakiwa pamoja ni maigizo tu!
Issue hapa sio mapenzi, bali ni hizo kazi alizokuwa nazo sasa, Je zina manufaa kwa Taifa?
 
............huyu mama sasa inabidi atulie kwa kuwa ANAKARIBIA KWENDA LABOR....AT least misafara isiyokuwa na kichwa wala miguuu itapungua mjini!!!!!!

...AND offcourse kwa kuwa muhashimiwa kaongeza mke mpya[mpwaye rostam]....si haba bibiye akitusumbua na SHOW OF MIGHTY ZA MISAFARA NA WAPAMBE NA PRESIDENTIAL PRESS TEAM ....as if yeye ndio SHEIN!!!!...YOTE HII KUWAKOGA ...
 
............huyu mama sasa inabidi atulie kwa kuwa ANAKARIBIA KWENDA LABOR....AT least misafara isiyokuwa na kichwa wala miguuu itapungua mjini!!!!!!
...


enhe ... my dear tell me! ... didnt know that she was in that state ... she is really over running the engine ... mkunga hapa atusaidie to advise her ...
 
kazi anayofanya WAMA haina neno, ni kitu kizuri amabacho angekifanya kwa nia moja ya kusaidia watoto ingekuwa safi sana.
Bahati mbaya amipoliticize mpaka anaonekana kabisa hadharani kama mnafiki na mwenye agenda ya siri. haipendezi. hasa kwa kutumia pesa zetu walala hoi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom