Una nongwa! mwambie mumeo ahakikishe anakuwa Rais ili nawe uwe First Lady ufaidi kama anavyofaidi Mama Salma.Ni uwezo mdogo wa kutambua mambo waliyonayo wote wawili Salma na Dokta wetu wa heshima. Kwanza hao maDC wengi wao waliteuliwa na Salma wakiwa kitandani na Dokta!
Salma ni First Lady kama alivyo Mama Obama, hivyo anastahili kupewa heshima
Ndio maana Josephine anapigani nafasi hiyo kumbe na yeye anataka apate ulajiuna uhakika first lady wa marekani ana misuse public funds kama huyu wa tz.
post yako ina chembe chembe za udini
its a million dollar question....
siyo kila kitu kiandikwe kisheria....kwenye nchi kuna tamaduni na mazoea ambayo wenye nchi hujiwekea...