Zambavuni
Senior Member
- May 24, 2012
- 118
- 26
Hello wana JF.
Nina rafiki yangu mmoja ambaye kwa sasa yuko nchi ya jirani anasoma. Amemuacha nyumbani mke wake na watoto wao watatu. Mke wake ni mama wa nyumbani na anashughuli zake za kujiongezea kipato. Ni familia yenye upendo na wote mme na mke wanapendana sana. Tatizo kwa sasa ni jirani yao mmoja, mme wa mtu anayemnyemelea huyo mke wa rafiki yangu. Anakaa standby akichungulia dirishani, mke wa rafiki yangu akienda dukani hilo jamaa linamfuata nyuma na kumtongoza, akielekea sokoni, jamaa hilo linawasha gari haraka lina pretend kumpa lift. Mke wa rafiki yangu a.k.a shemeji hamfichi mme wake anamwambia kila kitu maana anapatikana kwenye simu. Hilo dume limekuwa kero kwa shemeji. Sasa rafiki yangu kaniomba ushauri afanye nini? Nilichomshauri ni ampigie huyo jemba aache kumfuata mke wake maana ana namba yake ya simu. Sasa ninaileta issue hii kwenu wana JF nikiomba maboresho ya nini kifanyike kumstopisha huyo fara.
Nina rafiki yangu mmoja ambaye kwa sasa yuko nchi ya jirani anasoma. Amemuacha nyumbani mke wake na watoto wao watatu. Mke wake ni mama wa nyumbani na anashughuli zake za kujiongezea kipato. Ni familia yenye upendo na wote mme na mke wanapendana sana. Tatizo kwa sasa ni jirani yao mmoja, mme wa mtu anayemnyemelea huyo mke wa rafiki yangu. Anakaa standby akichungulia dirishani, mke wa rafiki yangu akienda dukani hilo jamaa linamfuata nyuma na kumtongoza, akielekea sokoni, jamaa hilo linawasha gari haraka lina pretend kumpa lift. Mke wa rafiki yangu a.k.a shemeji hamfichi mme wake anamwambia kila kitu maana anapatikana kwenye simu. Hilo dume limekuwa kero kwa shemeji. Sasa rafiki yangu kaniomba ushauri afanye nini? Nilichomshauri ni ampigie huyo jemba aache kumfuata mke wake maana ana namba yake ya simu. Sasa ninaileta issue hii kwenu wana JF nikiomba maboresho ya nini kifanyike kumstopisha huyo fara.