Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Hapa naongelea wanaume wanaofanya maamuzi ya kuachana na wake zao na kuoa mke mwingine au wake wengine - kutokana na sababu wanazozijua wao. Kwa waliofiwa na wake zao - poleni sana - hii mada haiwahusu au kama itawagusa - samahani sana...
Baada ya kufatilia kwa takribani miaka 40 - ndiyo arobaini na ushee - nimeonelea kuwa wanaume wengi ambao wameoa mara ya pili au zaidi wamekubwa na misukasuko mingi ya kimaisha kuliko wale ambao wamekuwa kwenye mahusiano ya ndoa na mke mmoja tu. Wanaume wengi ambao wameo mara ya pili au zaidi "wameharibikiwa" sana katika maisha katika njia nyingi mbalimbali....
Ninayo mifano zaidi ya 50 ya wanaume ambao "wameoa tena" na uzee wao umeishia pabaya sana ... Wengi wamegeuka kuwa ombaomba na masikini wa kutupwa pamoja na kwamba kabla ya "kuoa tena" walikuwa na maisha mazuri ya wastani au ya juu...
Ninapenda kuuliza, "kuoa tena" ni kujongezea mabalaa au ni changamoto za maisha...
Note: Wale ambao wanweza kuoa zaidi ya mwanamke mmoja kuishi nao hamuhusiki hapa...
Baada ya kufatilia kwa takribani miaka 40 - ndiyo arobaini na ushee - nimeonelea kuwa wanaume wengi ambao wameoa mara ya pili au zaidi wamekubwa na misukasuko mingi ya kimaisha kuliko wale ambao wamekuwa kwenye mahusiano ya ndoa na mke mmoja tu. Wanaume wengi ambao wameo mara ya pili au zaidi "wameharibikiwa" sana katika maisha katika njia nyingi mbalimbali....
Ninayo mifano zaidi ya 50 ya wanaume ambao "wameoa tena" na uzee wao umeishia pabaya sana ... Wengi wamegeuka kuwa ombaomba na masikini wa kutupwa pamoja na kwamba kabla ya "kuoa tena" walikuwa na maisha mazuri ya wastani au ya juu...
Ninapenda kuuliza, "kuoa tena" ni kujongezea mabalaa au ni changamoto za maisha...
Note: Wale ambao wanweza kuoa zaidi ya mwanamke mmoja kuishi nao hamuhusiki hapa...