Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 559
Kwa kweli Hii imenifikirisha kidogo na kujiuliza maswali kadhaa.
1. Kuna kiongozi yeyote hata DC tu ambaye ameshawahi kwenda kumsabahi au vinginevyo?
2. Hivi viongozi wetu wanapoona picha hizi wanajisikiaje?...
3. Kwani uchunguzi wa suala lake umefikia wapi?
4. Huyu Mama balozi amefikia/ameona nini hadi atoke Msasani hadi Kibiti kumuona, au kumsabahi tu mke wa Muandishi huyu?
kwa mwenye majibu ya Maswali, maoni afunguke kwa ustaarabu tafadhali.