Mke wa Mwandishi wa Habari Azory Gwanda Kutembelewa na Kaimu balozi wa Marekani

Vipi, Mtukufu Rais wa wanyonge dokta muweza wa yote, alienda kumtembelea.?! Au mtukufu sana kazi yake kuua tu. Kama ni hivyo basi, ni heri ya hao MABEBERU/WANAUME wana chembe za utu.
 
Ni walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.

Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.

Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.

Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.

Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?

Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.

Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.

Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.

Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
kimetusikitisha
Tunajiuliza
Tunamshauri

Samahani mkuu ni wewe na nani hapo Lumumba mliofungua huu uzi???
 
Hiyo ni chuki tu kwa kuwa umefundishwa chuki ila ni vyema ukatambua hakuna siku marekani waliitisha kongamano la kitaifa kuishambulia Heroshima na Nagasaki! Isitoshe mnayemwita ndugu yenu leo si wewe wala rafiki zako mliopata hata wazo la kuikumbuka familia yake na yeye katika kipindi hiki ambacho watawala wako wenye roho nzuri na ambao hawatengenezi silaha za maangamizi wameona hata haya kutamka jina la nduguBanda!
 
Ni walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.

Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.

Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.

Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.

Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?

Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.

Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.

Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.

Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
Mnaonaga watanzania wajiiinga ati, wewe usiye na hatia umemtembelea mara ngapi mjane huyo? Anahitaji msaada hata kama si pesa japo ushauri. Mengine muwe mnanyamaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.

Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.

Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.

Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.

Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?

Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.

Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.

Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.

Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
Na je akienda kuzindua barabara ya Tunduma sumbawanga au wodi ya watoto pale muhimbili iliyojengwa kwa ufadhili wao je hapo anakuwa si yule wa Libya? pole ndugu kama vyeo vinatafutwa hivi basi mimi acha nibaki kijijini
 
...Namkumbuka yule binti Wa shule aliyefiwa na wazazi na ndugu zake akiwa kwenye mtihani.
Ninakumbuka rundo la wanasiasa ambalo lilishuka kwake kumpa Pole na kumuahidi misaada mbali mbali.
Ninajiuliza kwa mini hakuna haya kiongozi mmoja Wa Serikali ama Chama Babalao amejitokeza kwenda kumpa Pole mama Azory na kumuahidi msaada hats Wa kumsomeshea tu watoto wake! Kulikoni? Wanajua cha kujua,?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo roho hawaja wahi kuwa nayo
 
Back
Top Bottom