kimetusikitishaNi walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.
Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.
Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.
Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.
Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?
Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.
Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.
Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.
Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
Got youMbona viongozi wetu malaika wasio na madoa wenye huruma na watu wao ambao hawakutengeneza bomu la nyuklia wala kuichafua Libya hawajawahi wala hawafikirii kwenda kumtembelea mjane huyu mkuu?
Mnaonaga watanzania wajiiinga ati, wewe usiye na hatia umemtembelea mara ngapi mjane huyo? Anahitaji msaada hata kama si pesa japo ushauri. Mengine muwe mnanyamazaNi walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.
Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.
Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.
Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.
Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?
Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.
Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.
Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.
Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
Na je akienda kuzindua barabara ya Tunduma sumbawanga au wodi ya watoto pale muhimbili iliyojengwa kwa ufadhili wao je hapo anakuwa si yule wa Libya? pole ndugu kama vyeo vinatafutwa hivi basi mimi acha nibaki kijijiniNi walewale waliofanya shambulio la atomiki huko Japan na kusababisha madhara makubwa.
Ni walewale Walioichafua Libya, wakasababisha raia wa taifa hilo kuwa masikini.
Ndio haohao walioitembelea familia ya ndugu yetu Azory Gwanda ambaye hajulikani alipo. Mungu amsaidie arudi salama Inshaallah.
Kitendo cha balozi huyo kufanya ziara kwa familia ya ndugu yetu mpendwa kimetusikitisha sana.
Bila shaka, balozi huyo anatumia machungu ya ndugu yetu kisiasa. Tunajiuliza huruma hiyo ametoa wapi?
Ingelikua ana ubinaadamu angeishauri serikali yake iache kufanya mauaji ya watoto wadogo huko Yemen.
Angeishauri Marekani iache kutengeneza makundi ya kigaidi, maradhi ya ebola na udumavu. Kwakweli angekua na huruma, angejiuzulu.
Tunamshauri balozi huyo akatembelee ndugu wa waandishi wa Marekani ambao waume zao wamepotezwa na Trump.
Waache kumtumia ndugu yetu kama silaha ya kutupiga nayo wenyewe. Mataifa mengi walianza hivihivi wakaishia kufanya uvamizi wa kijeshi.
Hiyo roho hawaja wahi kuwa nayo...Namkumbuka yule binti Wa shule aliyefiwa na wazazi na ndugu zake akiwa kwenye mtihani.
Ninakumbuka rundo la wanasiasa ambalo lilishuka kwake kumpa Pole na kumuahidi misaada mbali mbali.
Ninajiuliza kwa mini hakuna haya kiongozi mmoja Wa Serikali ama Chama Babalao amejitokeza kwenda kumpa Pole mama Azory na kumuahidi msaada hats Wa kumsomeshea tu watoto wake! Kulikoni? Wanajua cha kujua,?
Sent using Jamii Forums mobile app