Lakini kwa upande wako, usiyekuwa 'nyumbu' hiki kinaonekana ni heshima kubwa na sifa nzuri kwenu, eti?Kinachofurahisha sana kuhusu harakati za Nyumbu ni kuwa hiki nacho kinaonekana ushindi kwao..what a waste!!
Hapa tutegemee povu kutoka kwa Bashiru na wanakwaya wake
Chanzo: MwananchiView attachment 1296599View attachment 1296601View attachment 1296602
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watu waliopotea wanaendelea kuwa mawawazoni mwa watu wengi ni jambo jema. Haki ya uhuru ni ya kila mwananchi. Kujifanya kwamba ni sawa mtu kupotea ni hatari kwa usalama wako pia. Kumbuka wengi wanaoadika kama wewe walikuwa recruited na nape/makamba combinanga.Kinachofurahisha sana kuhusu harakati za Nyumbu ni kuwa hiki nacho kinaonekana ushindi kwao..what a waste!!
Hatimaye ngoja leo niulize swali ambalo siku nyingi nimejizuia kuliuliza:
Je, kuna makala zozote zilizochapishwa gazetini alizoandika Azory? Zinapatikana wapi?
Una hakika/ushahidi na ulichoandika kuhusu Mh Nape??Kama watu waliopotea wanaendelea kuwa mawawazoni mwa watu wengi ni jambo jema. Haki ya uhuru ni ya kila mwananchi. Kujifanya kwamba ni sawa mtu kupotea ni hatari kwa usalama wako pia. Kumbuka wengi wanaoadika kama wewe walikuwa recruited na nape/makamba combinanga.
Kwetu na Nani??Lakini kwa upande wako, usiyekuwa 'nyumbu' hiki kinaonekana ni heshima kubwa na sifa nzuri kwenu, eti?
Hao nenda kawasalimie wwNiulize swali kwanza, hivi alishaendaga kusalimia pia wajane wa marehem waliouwa kibiti na magaidi?
Wenzetu wana utu, sio wa kwetu hawa ndugu zake Ibilisi.Hapa tutegemee povu kutoka kwa Bashiru na wanakwaya wake
Chanzo: MwananchiView attachment 1296599View attachment 1296601View attachment 1296602
Sent using Jamii Forums mobile app
J /makamba nae alikuwa anacomment kama wewe ,angalau yeye amekulia familia bora lakini wewe Kajamba nani unajifanya mjanja wakayi hata bando tu mpaka ununuliwe au ukope tigo.Kinachofurahisha sana kuhusu harakati za Nyumbu ni kuwa hiki nacho kinaonekana ushindi kwao..what a waste!!
Na wenzako mnaojitambulisha kutokuwa 'nyumbu'.Kwetu na Nani??
Pole sana dogo.J /makamba nae alikuwa anacomment kama wewe ,angalau yeye amekulia familia bora lakini wewe Kajamba nani unajifanya mjanja wakayi hata bando tu mpaka ununuliwe au ukope tigo.
Ulitaka nikaulize Wapi? Hopeless!Na wenzako mnaojitambulisha kutokuwa 'nyumbu'.
Inashangaza kama hili nalo unaona ni swali la kuuliza hapa!