Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,735
- 7,677
Naombeni ushauri wenu wadau nifanyeje hapa nilipo nipo mafichoni
Inshu iko ivi,. Hapa jirani yetu kuna wapangaji wamehamia miezi miwili iliyopita ni mwanaume na mwanamke bado vijana hata mtoto hawajapata,
kwa maelezo ya mwanamke mmewe kahamishwa kikazi toka dar kuja huku mkoani,katika kukamilisha taratibu ilibidi mwanaume arudi dar kwa takribani wiki mbili..
Ilikua jioni moja wakati mimi natoka kwenye mishe zangu,nikaitwa na huyo mdada baada ya salam akanambia anataka nimsaidie kuweka taa ndani kwake ye kashindwa, kidume cha mkoani nikazam mara mlango paah! Ukafungwa dada akabadilika kaka nina shida moja tu nataka unigegede ni na hamu na nimesikia wanaume wa huku mnajua kupiga mashine atari
Mwanaume nikagoma nikataka kuusogelea mlango dada akasema nakupigia kele unataka kunibaka nkamwambia piga, kwei bhana akatishia na yowe moja kubwa nkamwambia bas ntafanya unachotaka,Nilichomfanyia yule mdada nilimpiga mashine mpaka akazima ikabidi nimwagie maji
Alipozinduka nkamuuliza vipi unaumwa kifafa akasema hapana ni mikuno niliyompa hajawai kupewa toka avunje ungo uko dar nkamuuliza mmeo vip akasema kimoja tu dk 5 hoi, akaniomba nisimuache niwe nampa tiba na atakua ananilipa...
Kilichofanya hadi mda huu niwe mafichoni hadi mda huu, nimegoma kuendelea nae mi wake za watu sipendi kua na mahusiano nao mana mke wa mtu ni sumu,. Baada ya kumkatalia mdada kaenda polisi kachukua RB kua nilimuibia vya thamani ya milioni moja hivyo nikubali kuendelea nae nikikubalia anafuta kesi,.
Ivi kweli kwa usawa huu ni kumlimpa mtu milioni na kashifa ya wizi juu kisa mwanaume wa Dar amkuni mke wake vizuri? Ivi kwanini nyie wanaume wa dar mkija uku mikoani mnatuletea matatizo, uko dar si ndo yule jamaa aliimba mwanaume mashine, mbona izo mashine hamzifanyii kazi ipasavyo au ni butu?
Wadau naombeni ushauri nifanyeje nitoke kwenye huu msala...
Inshu iko ivi,. Hapa jirani yetu kuna wapangaji wamehamia miezi miwili iliyopita ni mwanaume na mwanamke bado vijana hata mtoto hawajapata,
kwa maelezo ya mwanamke mmewe kahamishwa kikazi toka dar kuja huku mkoani,katika kukamilisha taratibu ilibidi mwanaume arudi dar kwa takribani wiki mbili..
Ilikua jioni moja wakati mimi natoka kwenye mishe zangu,nikaitwa na huyo mdada baada ya salam akanambia anataka nimsaidie kuweka taa ndani kwake ye kashindwa, kidume cha mkoani nikazam mara mlango paah! Ukafungwa dada akabadilika kaka nina shida moja tu nataka unigegede ni na hamu na nimesikia wanaume wa huku mnajua kupiga mashine atari
Mwanaume nikagoma nikataka kuusogelea mlango dada akasema nakupigia kele unataka kunibaka nkamwambia piga, kwei bhana akatishia na yowe moja kubwa nkamwambia bas ntafanya unachotaka,Nilichomfanyia yule mdada nilimpiga mashine mpaka akazima ikabidi nimwagie maji
Alipozinduka nkamuuliza vipi unaumwa kifafa akasema hapana ni mikuno niliyompa hajawai kupewa toka avunje ungo uko dar nkamuuliza mmeo vip akasema kimoja tu dk 5 hoi, akaniomba nisimuache niwe nampa tiba na atakua ananilipa...
Kilichofanya hadi mda huu niwe mafichoni hadi mda huu, nimegoma kuendelea nae mi wake za watu sipendi kua na mahusiano nao mana mke wa mtu ni sumu,. Baada ya kumkatalia mdada kaenda polisi kachukua RB kua nilimuibia vya thamani ya milioni moja hivyo nikubali kuendelea nae nikikubalia anafuta kesi,.
Ivi kweli kwa usawa huu ni kumlimpa mtu milioni na kashifa ya wizi juu kisa mwanaume wa Dar amkuni mke wake vizuri? Ivi kwanini nyie wanaume wa dar mkija uku mikoani mnatuletea matatizo, uko dar si ndo yule jamaa aliimba mwanaume mashine, mbona izo mashine hamzifanyii kazi ipasavyo au ni butu?
Wadau naombeni ushauri nifanyeje nitoke kwenye huu msala...