Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,075
- 19,610
Mambo ya kawaida hayo
Kuna watu mnabahati kukutana na tatu mzuka.Nyumba tunazoishi za kupanga, nyumba moja familia tano. Mke wa mtu unavaa suruali unapoinama kuosha vyombo au kufua chupi jeupe linaonekana kiunoni limekatika na kuonyesha shepu lote la makalio huu ni ustaarabu?
Mbaya zaidi unawalenga vijana ambao hawana wake au wale ambao wake zao wako mbali. Hii tabia sio nzuri kabisa.
Nani ameleta hizi tamaduni zisizofaa kwenye jamii zetu?
Sikiliza Mtoa Uzi, Mwenye macho haambiwi tazama.Nyumba tunazoishi za kupanga, nyumba moja familia tano. Mke wa mtu unavaa suruali unapoinama kuosha vyombo au kufua chupi jeupe linaonekana kiunoni limekatika na kuonyesha shepu lote la makalio huu ni ustaarabu?
Mbaya zaidi unawalenga vijana ambao hawana wake au wale ambao wake zao wako mbali. Hii tabia sio nzuri kabisa.
Nani ameleta hizi tamaduni zisizofaa kwenye jamii zetu?
Mtongoze, wewe unapewa ishara unalalamika badala ya kuchukua hatua.Nyumba tunazoishi za kupanga, nyumba moja familia tano. Mke wa mtu unavaa suruali unapoinama kuosha vyombo au kufua chupi jeupe linaonekana kiunoni limekatika na kuonyesha shepu lote la makalio huu ni ustaarabu?
Mbaya zaidi unawalenga vijana ambao hawana wake au wale ambao wake zao wako mbali. Hii tabia sio nzuri kabisa.
Nani ameleta hizi tamaduni zisizofaa kwenye jamii zetu?
Daaaaaah! eti 'hamna swaumu hapo unashinda njaa tu'.We kunywa soda tu hamna swaumu hapo! Unashinda njaa tu
Macho yako bado hayajazoea maumbo ya kike?Nyumba tunazoishi za kupanga, nyumba moja familia tano. Mke wa mtu unavaa suruali unapoinama kuosha vyombo au kufua chupi jeupe linaonekana kiunoni limekatika na kuonyesha shepu lote la makalio huu ni ustaarabu?
Mbaya zaidi unawalenga vijana ambao hawana wake au wale ambao wake zao wako mbali. Hii tabia sio nzuri kabisa.
Nani ameleta hizi tamaduni zisizofaa kwenye jamii zetu?
Sindio 😂😂😂Daaaaaah! eti 'hamna swaumu hapo unashinda njaa tu'.
Hahahaha,labda mchaga huyo.Usinzi
Uzinzi
Hahahaha! Shwari kabisa.umezingu dingimtoto , jamaa yuko sahihi
mambo yako shem ake mie
niko sawa sawia.Hahahaha! Shwari kabisa.
Uhali gani shem wangu wa nguvu
Kumbe unaishi nyumba za kupanga lakini kutwa kushinda mtandaoni kuishabikia CCM .
Mpaka utakapojenga nyumba yako mwenyewe . Endelea kunyooshwa huko nyumba za kupanga kwanza
Sawa! Shemniko sawa sawia.
nafurahia uko shwari kbsaaa
Macho hayana pazia mama.Yupo katika pirika zake za kawaida za kufanya usafi na kupika mume wake akija akute mambo shega.
Wewe ndugu yangu kutwa kujianika kufatisha ushepu wa jirani sasa hivi unapika ama unafua huku ukiangaza macho ujue leo kavaa kyupi rangi ganii.
Hebu limia hata bustani kama huendi jobu.
Basi kaa kwa kutulia na upunguze jazba. 🤣Macho hayana pazia mama.