Mke wa mtu sumu:

Mbuzimtu

JF-Expert Member
Jul 25, 2013
355
178
Wanabodi,
Kuna kila sababu ya sisi wananchi kuangalia ni ni kwa namna gani tunapata viongozi wasiochafua heshima ya taifa letu. Mfano, ni miaka michache imepita tulishuhudia kiongozi mmoja mkuu ndani ya chama cha siasa akifumaniwa na "mywife" wa mtu huko kanda ya kati.

Kwa bahati mbaya sana huyo kiongozi jina limenitoka ila nakumbuka yuko CCM na ni mtu maalufu sana tu tangia apatwe na masahibu hayo. Yeye mwemyewe ule msemo wa Mke wa mtu sumu anaujua maana yake maana yamemtokea.

Sasa lazima watanzania tujiepushe na viongozi kama hawa ambao wakipata madaraka wanahararisha kila kitu kuwa ni chao.

Mke wa mtu sumu!. Muulize mbunge na bwana mkubwa atakusimulia mkasa mzima!
 
MESEJI YA MBOWE HII HAPA.
------------------------------------------------------
''bwana kabunju, salaam. Rejea Mazungumzo yangu kuhusu Mhe.Joyce Mukya ambaye yuko safarini. Nitashukuru akibadilishiwa booking yake aweze kuondoka New York Tarehe 1 Dec siku ya Jumaapili kurejea Dubai na Kuunganisha Dar Tar3Dec. Mbowe,KUB.Cc Mhe.Joyce Mukya''

--------------------------------------------------------
DAH. HII NI FEDHEHA YA AINA YAKE, na haya ndio yanayoitwa matumizi mabaya ya Madaraka, sijui kwanini Tunaoa ikiwa hatuwaheshimu na kuwajali wake zetu mbele ya jamii. pole sana mhasherati mbowe. tutaendelea kuambizana ukweli tu.


 
BREAKING NEWZZZZ MWIGULU NCHEMBA AMLIPUA MBOWE BUNGENI,AFICHUA UFISADI WA KUTISHA KWNEYE SAFARI ZA MBOWE NA HAWARA WAKE JOYCE NKYA.

Ni historia imeandikwa tena hii leo,Mwigulu Nchemba akiendelea kupeperusha bendera ya Nchi vilivyo na kuvaa Uzalendo wa hali ya Juu,amefichua siri ya wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Mbowe kula fedha za watanzania,Kula Kodi za wananchi kwa safari hewa za Bunge.
Kibaya zaidi MWIGULU EMENASA KIMEMO KILICHOANDIKWA NA MBOWE KWENDA KWA KATIBU WA BUNGE KUMUOMBA AMBADILISHIE SAFARI KIMADA WAKE,HAWALA WAKE,MALAYA WAKE JOYCE NKYA(AMEZAA NAYE MTOTO)AMBAYE NI MBUNGE W VITI MAALUMU WA CHADEMA AMBAYE ALIPANGIWA NA BUNGE KWENDA MAREKANI KWENYE KAZI ZA KITAIFA,LAKINI MBOWE ALIMUOMBA ASIENDE MAREKANI KWENYE KAZI HIZO ZA KITAIFA NA HATIMAYE KWENDA DUBAI KULA RAHA,KUFANYA NGONO,KUFANYA MAPENZI.

HATARIIIII KUWA NA MBUNGE NA KIONGOZI KAMA MBOWE MABAYE NDOA YAKE IPO MAHAKAMANI SASA KUELEKEA KUVUNJUIKA,KIONGOZI ANAYEONGZA WABUNGE WAKE KWENYE UASHERATI WA FEDHA ZA WATANZANIA,

SAFIIIIIIIIIIIIIIII SANA MWIGULU NCHEMBA,SAAAAAAAAAAAAAAAAAFFFIIII SANA MWIGULU NCHEMBA.
ENDELEA KUWALIPUA JEMBEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE LA CCM,BUNGE LIMESHANGILIAAAAAAAAAAAAAA NI BALAAAAAAAAAAAAAAA
 
SLAA amempora mke wa mahimbo aitwaye josephine mushumbusi.. hatari sana hii
 
Wanabodi,
Kuna kila sababu ya sisi wananchi kuangalia ni ni kwa namna gani tunapata viongozi wasiochafua heshima ya taifa letu. Mfano, ni miaka michache imepita tulishuhudia kiongozi mmoja mkuu ndani ya chama cha siasa akifumaniwa na "mywife" wa mtu huko kanda ya kati.

Kwa bahati mbaya sana huyo kiongozi jina limenitoka ila nakumbuka yuko CCM na ni mtu maalufu sana tu tangia apatwe na masahibu hayo. Yeye mwemyewe ule msemo wa Mke wa mtu sumu anaujua maana yake maana yamemtokea.

Sasa lazima watanzania tujiepushe na viongozi kama hawa ambao wakipata madaraka wanahararisha kila kitu kuwa ni chao.

Mke wa mtu sumu!. Muulize mbunge na bwana mkubwa atakusimulia mkasa mzima!

ninalaani sana tabia ya uzinzi inayofanywa na viongozi wakuu wa chadema
 
Me nakataa hili. kama mke wa mtu ni sumu, mbona wengi wanakula lakini hawafiiiii? ingekuwa hivyo basi DR SLAA angekuwa marehemu siku nyingi maana yeye target yake ni wake za watu tu
 
...buku 7 squad = siasa za majitaka = savimbi = chama cha mizigo (ccm)...
 
Back
Top Bottom