Habari zenu wana Jf: Kuna rafiki yangu alikuwa na mpenzi wake tangu mwaka 2007 na walipendana sana na walikuwa na mpango wa kufunga ndoa 2012. Ilipofika mwaka 2010 mpenzi wa rafiki yangu (shemeji) alianza mahusiano na mtu mwingine na kwa kuwa penzi halina halifichiki rafiki yangu akaja gundua kuwa mpenz wake anamchit na baada ya kumbana akakubali kuwa ametenda kosa ila jamaa ameahid kumuowa ila bado ana mapenz kwa boyfrnd wake wa zamani.
Ikafika kipind yule msichana akahamia kwa yule jamaa aliyemwambia kuwa atamuowa na wakati huo huo akawa bado anaendelea kutoka na rafiki yangu. Ijumaa ya tarehe 7/10/2011 rafiki yangu aliitwa na huyo mpenzi wake na kumwambia kuwa jpili ya tarehe 9/10/2011 ndio siku ambayo atakuwa anaolewa na huyo jamaa anaye kaa nae ila akamwambia rafiki yangu kuwa "JAPO KUWA NAOLEWA ILA BADO NAKUPENDA NA NAKUHITAJI" Naomba mnisaidie ili niweze kumshauri rafiki yangu maamuzi ya kuchukuwa katika hili jambo
Ikafika kipind yule msichana akahamia kwa yule jamaa aliyemwambia kuwa atamuowa na wakati huo huo akawa bado anaendelea kutoka na rafiki yangu. Ijumaa ya tarehe 7/10/2011 rafiki yangu aliitwa na huyo mpenzi wake na kumwambia kuwa jpili ya tarehe 9/10/2011 ndio siku ambayo atakuwa anaolewa na huyo jamaa anaye kaa nae ila akamwambia rafiki yangu kuwa "JAPO KUWA NAOLEWA ILA BADO NAKUPENDA NA NAKUHITAJI" Naomba mnisaidie ili niweze kumshauri rafiki yangu maamuzi ya kuchukuwa katika hili jambo