Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Napendwa na mke wa mtu mama tu ana life yake nzuri tu na mimi pia nina maisha yangu ya kunifanya niishi hapa jijini. Napata usumbufu mkubwa sana wa huyu mwanamke kiasi kwamba nafikiria kumwambia mume wake,
Jana kaja usiku kwangu kapaki dinga lake hapo nje kaingia moja kwa moja mpaka ndani ,mida ya saa mbili nikiwa nimeshapika natazama tv pendwa ITV. Alivyofika tu ndani huo mkao wake mtoto hatumwi dukani aisee,
Dakika kama tano kavua nguo zake amebaki uchi wa mnyama anataka dudu. Mimi nikapita nikaingia chumbani nikapita mlango wa pili nikaenda kuangalia mpira wa livapuli. Huyu mama nilishawahi kutwmbea na watoto wake
Sasa wakuu hapa nifanyaje kumuepusha huyu mama nimwambie mme wake au nifanye nini
Jana kaja usiku kwangu kapaki dinga lake hapo nje kaingia moja kwa moja mpaka ndani ,mida ya saa mbili nikiwa nimeshapika natazama tv pendwa ITV. Alivyofika tu ndani huo mkao wake mtoto hatumwi dukani aisee,
Dakika kama tano kavua nguo zake amebaki uchi wa mnyama anataka dudu. Mimi nikapita nikaingia chumbani nikapita mlango wa pili nikaenda kuangalia mpira wa livapuli. Huyu mama nilishawahi kutwmbea na watoto wake
Sasa wakuu hapa nifanyaje kumuepusha huyu mama nimwambie mme wake au nifanye nini