MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,480
Habari zenu jamani
Leo nakuja na uzi wa majanga. Kwa ufupi nilideti na mke wa mtu japo mume wake yuko mbali na hawakai nae. Sasa kuna siku nilimuita home nilikuwa na ukame wa haja na siku hiyo kiukweli nilijilaumu na alikuwa siku mbaya tulimaliza mambo yote na kila mtu akaenda kivyake.
Kesho yake nilienda nikamnunulia dawa za p2 ili kuepuka mimba. Sasa baada ya week moja alipima ikajulikana hana kabisa. Baada ya week mbiili akaja na kuniambia kuwa anayo mimba tena dalili ziko.
Jamani hivi hapo kuna ukweli kweli maana aliniambia kuwa dalili aliyonayo ni maziwa yanatoka kwenye chuchu na kiukweli hata kama mtu hujasoma ni kitu ambacho hakipo hata kidogo.
Naomba ushauri nimfanyeje huyu mtu
1. Nimpotezee afe na mimba yake
2. Nimsaidie kutoa yani nijishushe maana yaweza kuwa si yangu na mi ukute nakula mateso tu.
Leo nakuja na uzi wa majanga. Kwa ufupi nilideti na mke wa mtu japo mume wake yuko mbali na hawakai nae. Sasa kuna siku nilimuita home nilikuwa na ukame wa haja na siku hiyo kiukweli nilijilaumu na alikuwa siku mbaya tulimaliza mambo yote na kila mtu akaenda kivyake.
Kesho yake nilienda nikamnunulia dawa za p2 ili kuepuka mimba. Sasa baada ya week moja alipima ikajulikana hana kabisa. Baada ya week mbiili akaja na kuniambia kuwa anayo mimba tena dalili ziko.
Jamani hivi hapo kuna ukweli kweli maana aliniambia kuwa dalili aliyonayo ni maziwa yanatoka kwenye chuchu na kiukweli hata kama mtu hujasoma ni kitu ambacho hakipo hata kidogo.
Naomba ushauri nimfanyeje huyu mtu
1. Nimpotezee afe na mimba yake
2. Nimsaidie kutoa yani nijishushe maana yaweza kuwa si yangu na mi ukute nakula mateso tu.