Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
- Thread starter
- #21
Akah hapo anaweza kudondosha simu yake makusudi akajidai kuinama kuiokota mara boobs zote hadharani; nafsi itapoteza ujasiri hapa
Akah hapo anaweza kudondosha simu yake makusudi akajidai kuinama kuiokota mara boobs zote hadharani; nafsi itapoteza ujasiri hapa
Mwambie aje akiwa hajavaa chupi.
Mwambie "napenda USIJE" kama huna mpango nae wala hutaki kesi.
Mie hushindwa kumuelewa kama yupo kiutani zaidi au ana lake moyoni!!
wewe ni muongo bana atakuulizaje unapenda avaeje wakati akija kwako kama wewe hujamualika
Sijakataa unaweza kuwa unasema ukweli, tatizo lugha ulio tumia ina makosa, we rudia ukasome vizuri utaona makosa yako.Kama ni uongo nilikua na haja gani ya kuandika hii kitu hapa; najua watekeleza haki yako ya msingi; ila hiyo issue ni kweli tupu"
anza kumpandishia vioo maana anaonekana anataka mazoea ya kijinga.
Mwambie aje akiwa hajavaa chupi.
Mwambie aje akiwa hajavaa chupi.
Ndugu zangu; Mama huyu ni jirani yangu anatoa huduma ya M~pesa, sasa mara nyingi nkihitaji huduma hiyo hupenda kumtumia yeye kwa kumpigia simu au kumtumia msg kumwambia anishibishie account yangu na pesa yake huja kumpa baadae au hata siku ya pili naye hufanya hivyo bila matatizo.
Tatizo langu ni pale niendapo kumlipa pesa yake, mara zote hupokea pesa na kuniuliza napenda aje kwangu akiwa amevaaje?
Kwakweli hukosa jibu huwa nabaki kujichekesha; yapata mara ya 3 sasa nakutana na kauli hii.
Nini maana yake?