Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Ndugu zangu; Mama huyu ni jirani yangu anatoa huduma ya M~pesa, sasa mara nyingi nkihitaji huduma hiyo hupenda kumtumia yeye kwa kumpigia simu au kumtumia msg kumwambia anishibishie account yangu na pesa yake huja kumpa baadae au hata siku ya pili naye hufanya hivyo bila matatizo.
Tatizo langu ni pale niendapo kumlipa pesa yake, mara zote hupokea pesa na kuniuliza napenda aje kwangu akiwa amevaaje?
Kwakweli hukosa jibu huwa nabaki kujichekesha; yapata mara ya 3 sasa nakutana na kauli hii.
Nini maana yake?
Tatizo langu ni pale niendapo kumlipa pesa yake, mara zote hupokea pesa na kuniuliza napenda aje kwangu akiwa amevaaje?
Kwakweli hukosa jibu huwa nabaki kujichekesha; yapata mara ya 3 sasa nakutana na kauli hii.
Nini maana yake?