Mke wa mtu ana nguo moja ya ndani, sijui akitoka inakuwaje!

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,470
45,614
Ni ajabu sana kuna rafiki yangu leo kaniambia eti yeye ana nguo moja ya ndani/kufuli moja tu ndani kwake.

Japo mimi sio mvaaji sana ila ninazo nyingi. Imebidi tumchangie tumnunulie dazen halafu ni mke wa mtu.

Sijui huyo baba mke anatoka bila kufuli huwa anawaza nini.
 
Ni ajabu sana kuna rafiki yangu leo kaniambia eti yeye ana nguo moja ya ndani/kufuli moja tu ndani kwake.

Japo mimi sio mvaaji sana ila ninazo nyingi.Imebidi tumchangie tumnunulie dazen halafu ni mke wa mtu.

Sijui huyo baba mke anatoka bila kufuli huwa anawaza nini.
Swali la kizushi.....
Hivi mwenye 'kufuli' moja na wewe mwenye nyingi halafu huvai, MNA TOFAUTI GANI?
 
Ni ajabu sana kuna rafiki yangu leo kaniambia eti yeye ana nguo moja ya ndani/kufuli moja tu ndani kwake.

Japo mimi sio mvaaji sana ila ninazo nyingi.Imebidi tumchangie tumnunulie dazen halafu ni mke wa mtu.

Sijui huyo baba mke anatoka bila kufuli huwa anawaza nini.

SASA HUYU AKIWA MP INAKUWAJE HII NAYO KALI DAS LAM MMETISHA MARA HAMZITAKI MPAKA MNABAKIWA NA MOJA
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom