Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,047
Huyu mama watu wengi tulikuwa Hatumjui,japo tulijua kama Lema anamke..ila tulikuwa hatujui anaitwa nani haswa na pengine yukoje hasa watu ambao tuko nje ya Arusha.
Kupitia hili sakata la kumpleka mahakani na vibwanga vyake vimesababisha ujulikane hata kama yeye hataki kujlikana,maana naskia ni mama mmoja asiependa makuu.
Hata hivyo Serkali inaweza kujua inakukomesha kumbe inamtambulisha kwa watu na hata ajikute anaanza hata kuwaza kugombea au kuingia kwenye siasa japo awali anakuwa hakuwahi kufkiria.
Eti muda mwingine mtu akikufanyia baadhi ya vitu kaa kimya,kundelea kukionglea ndio kama unakuwa unajitukana mwenyewe.
Kwa mfano mim nipigwe kidole na mtu mataani kama mwanaume simwambiia yeyote na kaa zangu kimya pengine ntapambana na mlengwa nimavyojua mim.
Mkuu wa mkoa kuendlea kupambana na Familia ya Mbunge wa Arusha na kosa lenyewe kuwa ati alitukunwa kuwa yeye ni shoga anazdi kjjitukanisha yeye angekaa kimyaa amuite huyo Lema amkanye sasa badala yake .anaendlea kujitukanisha maana kila mtu anataka kujua sabab za Mke huyu wa mbunge kuplekwa mahakani then sabab inakuwa ati alimtukana mkuu wa mkoa kuwa ni shoga;mim hata siiependi kesi kwa mtu mkbwa kama mkuu wa mkoa.
Lakini ukiacha yeye kuendelea kuchafuka ,mda huohuo mke wa mbunge anazdi kupata umaarufu wa bure...
Nashauri vikesi vingine vinavyowapa umaarufu watu ambao hata waliokuwa hawajulikani muwe mnachana navyo..