Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 650
- 534
Iv mke wa magufur yupo wap?, mbona kwenye kampen za ccm haonekan? Hapa ni Regina mke wa Lowassa akiongea na wakina mama wa chadema..
Kijana siku zote kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza,,, haya huyo anayetembea kipi cha maana alichoongeaa huko
Hv nyie watu wa Ukawa mna elimu gani?Hata wa Magufuli kasimama kazi.Akishaingia kwenye siasa, hata wewe unatakiwa kuomba likizo ama kuacha kazi kwenye utumishi wa umma.
Regina mmewe Lowasa wako busy kusaka tonge
Hapana chezea madaraka wewe!!
Sasa mke wa watu kutomuona nayo imekua mada ya kuweka jukwaani? Na wewe mke wako yuko wapi mbona hata JF hatumuoni?
umeniwahi mkuu,nami nilitaka kumhoji kuhusu mama WAMA na harakati za kujitembeza.Hahaha kwa hyo umeanza kumtusi mama salma mana yeye aliacha kazi kabisa.
Hahaha kwa hyo umeanza kumtusi mama salma mana yeye aliacha kazi kabisa.