Mm ni mwajiriwa nahitaji mke wa kuoa kwa wanaoishi Dar tu umri wangu ni miaka 38 .Awe mkristo, rangi yeyote awe mrefu mwenye umbo zuri ,umri miaka 20-32,mwajiriwa au mfanyabiashara naomba ni PM haraka
Hahaha. Yaani wewe ni bahili na mke ndo maana haujapata! Ungesema unataka na wa dar sehemj gani usije ukawa unaishi mbagala na kulazimika kuchoma wese hadi tegeta!
kuwa wazi swala hapo sio mbagala sema unadharau na watu wanaokaa huko usijikweze atakayenipenda tutaishi naye popote kwani hiyo itakuwa mipango yetu acha dharau hujafa hujaumbika ubarikiwe lakini maana hayo ni mawazo yk uko huru, big up!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.