X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,607
- 1,842
Kamanda wa majeshi ya ulinzi na uslama Tanzania, alikuwa anakaguwa wanajeshi wake katika gwaride lililofanyika kule Makutupora, akasimama kwa mwanajeshi wa kwanza na kumuuliza:
jina lako nani kijana...?
Koplo Hamisi Afandiii... (akajibu mwanajeshi),
Kamanda akamuuliza Koplo Hamisi:
Na hii ni nini umelibeba?
Koplo akajibu: hili ni bunduki langu-mheshimiwa Afandii.
Kaamanda: Hapana!! nataka kuanzia leo hili musiliite bunduki, unaliita mke wangu-umesikia?,
Ndio mheshimiwa akajibu Kpl.Hamisi.
Kamanda akasimama kwa mwanajeshi wa pili na kumuuliza:
Jina lako nani?
Koplo Daudi: Koplo Daudi mheshimiwa Afandii...! akajibu.
Kamanda akamuuliza na hii ni nini? (akimaanisha ile bunduki alobeba)
Koplo Daudi akajibu: Huyu ni mke wa Koplo Hamisi - mheshimiwaaa Afandiii...!
jina lako nani kijana...?
Koplo Hamisi Afandiii... (akajibu mwanajeshi),
Kamanda akamuuliza Koplo Hamisi:
Na hii ni nini umelibeba?
Koplo akajibu: hili ni bunduki langu-mheshimiwa Afandii.
Kaamanda: Hapana!! nataka kuanzia leo hili musiliite bunduki, unaliita mke wangu-umesikia?,
Ndio mheshimiwa akajibu Kpl.Hamisi.
Kamanda akasimama kwa mwanajeshi wa pili na kumuuliza:
Jina lako nani?
Koplo Daudi: Koplo Daudi mheshimiwa Afandii...! akajibu.
Kamanda akamuuliza na hii ni nini? (akimaanisha ile bunduki alobeba)
Koplo Daudi akajibu: Huyu ni mke wa Koplo Hamisi - mheshimiwaaa Afandiii...!