Mke wa boss wangu anadai mimba ni yangu...naomba ushauri

masanzu

JF-Expert Member
May 6, 2013
605
217
Hbr wanajf
mimi ni dereva namuendesha mke wa boss yangu toka nimeanza kazi hii yapata mwk mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia kunasiku tulisafiri kwenda mtwara kwny biashara za huyu mama kufika kule yule mama alilipi chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote nanikikataa ndy itakuwa mwisho wa ajira nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara sikuwa najinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo nakiukweli mshahara niliongezewa.sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndy mwny huo mzingo ila akanishauri niuchune kwa sababu mme anajuwa mkewe ni mjamzito.SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANANIFANANA ITAKUWAJE?NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.naomba ushauri
 
mshamba mkubwa wewe, tena ng'ombe kabisa. yaani unatembea na mke wa bosi wako tena bila kondomu. au alikuzuia kutumia kondomu? subiri kifo tu bro, tena jamaa atakupoteza bila huruma.
 
stori hzo sasa,,, eti mumewe ni usalama wa taifa!! hadithi yako inatufundisha nn??
 
Kimbia mapema mkuu kabla haujaliwa Kabaaaaang yako pindi mwana TISS atakapobaini. Sema unamatatizo ya kifamilia nyumbani hivyo wakupe ruhusa japo ya wiki moja, baada ya hapo usigeuke nyuma kimbia speed 320!!
 
Hbr wanajf
mimi ni dereva namuendesha mke wa boss yangu toka nimeanza kazi hii yapata mwk mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia kunasiku tulisafiri kwenda mtwara kwny biashara za huyu mama kufika kule yule mama alilipi chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote nanikikataa ndy itakuwa mwisho wa ajira nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara sikuwa najinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo nakiukweli mshahara niliongezewa.sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndy mwny huo mzingo ila akanishauri niuchune kwa sababu mme anajuwa mkewe ni mjamzito.SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANANIFANANA ITAKUWAJE?NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.naomba ushauri

kazi mwaka mmoja, safari ya mtwara. . . . . km huyo bosi wako mama ama mzee wanapitiaga hapa jf kweli hawawezi kubaini!
 
Hbr wanajf
mimi ni dereva namuendesha mke wa boss yangu toka nimeanza kazi hii yapata mwk mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia kunasiku tulisafiri kwenda mtwara kwny biashara za huyu mama kufika kule yule mama alilipi chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote nanikikataa ndy itakuwa mwisho wa ajira nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara sikuwa najinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo nakiukweli mshahara niliongezewa.sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndy mwny huo mzingo ila akanishauri niuchune kwa sababu mme anajuwa mkewe ni mjamzito.SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANANIFANANA ITAKUWAJE?NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.naomba ushauri
Nunua vitu vifuatavyo:
  1. Sanda,
  2. Jeneza
Kama ni muislamu basi hakikisha unachagua msikiti wa kuoshewa na sehemu ya kuzikiwa, kama ni mkristu basi nenda kachague sehemu nzuri ya kuzikiwa
 
mbulula, wakati unatembea na mke wa bosi hukutaka ushauri leo yamekukuta ndio unatafuta ushauri?

Mkuu unakosea nilifanya vile kulinda kibarua na halafu nilidhani ni kwa siku hiyo tu sasa yeye akawa anataka kila mara nilishindwa kukataa coz yeye kashika mpini
 
Hahahahahahahahahahahah.......yamekukuta!!!! Subiri tu kufraia shoo ya fm academia mtoto akishazaliwa. Mi naona bora ulimbie mapema kabla hujaenda kuungana na babu sea ukonga mgosi.
 
Mkuu unakosea nilifanya vile kulinda kibarua na halafu nilidhani ni kwa siku hiyo tu sasa yeye akawa anataka kila mara nilishindwa kukataa coz yeye kashika mpini
Mleta mada unafurahisha kweli unavyoweka mambo hadharani inaonyesha wazi hii ni story ya kutunga. Naamini kabisa wapo rafiki wa boss wako wanaotembelea JF na kwa details ulizoweka kukupata ni rahisi sana.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hbr wanajf
mimi ni dereva namuendesha mke wa boss yangu toka nimeanza kazi hii yapata mwk mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia kunasiku tulisafiri kwenda mtwara kwny biashara za huyu mama kufika kule yule mama alilipi chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote nanikikataa ndy itakuwa mwisho wa ajira nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara sikuwa najinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo nakiukweli mshahara niliongezewa.sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndy mwny huo mzingo ila akanishauri niuchune kwa sababu mme anajuwa mkewe ni mjamzito.SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANANIFANANA ITAKUWAJE?NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.naomba ushauri
Mama yangu weee!!!! Kichwa chako kitakuwa target ya risasi! Nimekutahadharisha mapema...tutakujaona uzi humu JF kuwa masanzu hatupo naye tena na wana-JF kuchangia comments zao..'RIP masanzu!!!
 
Mkuu unakosea nilifanya vile kulinda kibarua na halafu nilidhani ni kwa siku hiyo tu sasa yeye akawa anataka kila mara nilishindwa kukataa coz yeye kashika mpini

Japo siungi mkono ulichokifanya hata kidogo,lakini ulishindwa kutumia hata kifanyio...!
Enzi hizi ni za kupiga kavu kweli?
Kingine ndg yangu,unatakiwa uifahamu JF and its members,mambo ya kipuuzi ukiyaleta hapa tegemea kauli yenye kukuumiza zaidi kuliko kukupa suluhisho.
 
Back
Top Bottom