SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
My dada where did you get this damn experience?
Are you among them?
Are you among them?
nyie mnawakosea hawa wanaume iko hivi kuna kitu inaitwa limbwata hii ni nyama ambayo inawekwa kwenye UCHI MWANAMKE KWA SIKU 7. kisha inapikwa kwenye mboga halafu ile nyama mwanaume anaikula walllah huyu hafurukuti miaka nenda rudi wala haiish nguvu.
pia kuna kitu kinaitwa ndelenja ya kuoga na kuchanjwa basi hizi bidada anachanjwa na kuogea na kuzieka kunako basi kila ukiingia unausikia utamu wa kufa mtu na kamwe hutakumbuka uchi wa mwanamke mwingine yyte yule chini ya mbingu zaid yake huyu.
haya kuna kumuinamisha mwanaume- hapa inategemea na aina ya mganga la wengi hupenda kuchukua makombo waliobakiza wanaume wanapokula kisha unachanganya na unyayo wake, kucha na nywele za tupu na kichwania na uzi wa nguo za ndani kisha zinakaangwa jikon zinakuwa jivu zinachanganywa na madawa mengine kama udi na ubani na maji zya zamzam na tarasibu basi mwanamke anazifukia ndani yaani kwa anayeweza anabomoa hata tiles ama anafumua godoro anaweka katikati basi huyu mwanaume yaani hawez kufurukuta miaka nenda rudi kila aendapo lazima akumbuke arudi hapo.
haya nisimalize ulonzi wote hapa mwanaume ili akupende daima lazima aule mwili wako wote na hii atakula nywele za aina zote, kucha zote, maji ya kuchambia matuandu yote na maji ya kuogea. ukiona mwanaume anakuwa zuzu sana ujue wamechukua yule mdudu kiingereza huitwa earth worm wakamchanganya na ndelenja ya kutambaa kisha ikatengenezewa baruti ikalipuliwa wallah huyu mwanaume lazima mke akikohoa tu yuko kukinga makohozi na kamwe dawa hii huwa huwez kuirudisha tena.
pia kabla sijahitimisha kuna dawa inayotengenezwa kwa kutumia kitambaa cha shughuli yaani kile kitambaa mkisha kitumia basi hakifuliwi kinatiwa dawa kisha kinaekwa ndani ya kopo mwanamke anakificha chumban basi mwanaume huyu milele hatakaa asimamishe kwa mwanamke zaid ya huyu na siku kikipotea ndo esting hakuna tena milele
to me this is stupid but ni vyema mjue mnalogwaje na dhamira ni nini sasa hapa kazi kwenu kwa wanaopenda niwaambie aina za haya madawa ani pm ila masharti msigombane na wake wala wapenzi wenu lol.