lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Bwana Awe Nanyi Wakuuu! (Wakubwa zangu shikamooni!!!!)
Watu kwa kujifanya mambo ya kiswahili/ kichawi HAMYAPENDI wakati mmevamia thread kwa kasi!!! Kweli padri au mchungaji akikufuma unasoma thread kama hii utasemaje? Hahahaaaaa! Wajifunza ili usifanye? LOL!
Hii inshu ilitokea kitambo kidogo ila ni ndefu sana sasa naifupisha kisela!!!!
Mimi siamini katu katu katika ULOZI isipokuwa wapo watu wanayaabudu, i aint judging anyone!
Kimada wa bosi flani mujini hapa, BIG COMPANY, alinicosult kuwa anataka KUTAKE OVER POSITION YA WIFE WA BOSI, kachoka kuwa kimada, sasa mimi yule dada shosti wangu wa longi, alafu hapendi kuambiwa ukweli, hivo namsapoti tuu, ukizingatia bosi kampa LANDROVER DISCOVERY, na KAMPANGIA KUNDUCHI jumba lina mpaka swimming pool, aaah! mie niseme nini zaidi ya KUJIKOMBARIZE. Mjini Mipango! HAKUNA ALIYE MSAFI!!!!
Akaniomba shosti nisindikize pahala!!!!! Mie nikakubali! (USHOGA KAZIII ACHENI TUUU!) Sasa ameendeshaaa kuingia porini huko, Mi sikustuka nikajua ANAENDA KUNUNUA SHAMBA labda! Heee! Situkapaki kwenye kijumba kina TUNGURI!!! Tena bonge ya FOLENI! Ndo kustuka!
Sasa mi sikujua kama yule shosti BONGE YA DUUU VILEE kama nae anapulizia! Khaaaa! Mi sikujishughulisha ATA TAKE OVER kwa mbinu ipi! Kumbe SCIENCE ZA BABU!!! Tobaaaaa! Kiranga kikanitoka! Si ndo akaanza kunisimulia kuwa BIG BOSS Mambo yao hayaendi, tena kuna kina dalili ATATUPIWA VIRAGO KAMA KOCHA WA YANGA!!! MTUMEEEE! Wakati ilibaki kiduchu BIG BOSS AMUACHE MKEWE!!! Hivo kaja kurenew mambooo!!!!! Ndo nikajua kumbe kumpata pia alipita huku!!!! Nikabaki nimetumbua MIJICHO KAMA NIMEBANWA NA LANGO LA KANISA! (NASISITIZA USHOGA KAZIII!!!!)
Basi tukashuka si tukashuka, kutizama tu kwenye foleni tukamuona ANKO X!!!! Huyu ni engineer pale ofisini kwao, ila ANA KESI YA KUCHAKACHUA MIVUMBAAA YA PROJECT!!! Ndo KAJA KUFUTA KESI NA KUWAPUMBAZA MABOSI hivoooo! Jicho kidogo lidondoke!!! Alafu X ALISHTUKA SANA KUTUONA!!! Ila akazuga huku anagunaguna! Tukaketi kusubiri foleni!
HAMADIIIIIIII! Alietoka kwa mganga si MRS BIG BOSS MWENYE?!!!!!!!! Shosti kidogo AZIMIE!!! Uzuri Mama BIGBOSS hamjui shosti ila shosti anamjua mwenzie!!! Huyo kapita kapanda ndinga kasepa! Shosti ndo KUSHTUKIA KUWA ITAKUWA MRS BIG BOSS KAMZIDI VIPIMO VYA DAWA!!! LOL! Akawa anasonya double doule! Mi nikajua anko X alistuka nini!!!
YALIYOENDELEA NI SIRI YA KAMPUNI!!!
Hoja yangu!!! UKIWA NA FUBA KUBWA NI TABU SANAAAA! MKEO AKULISHE MAJI YA KUTAW*ZIA, NYUMBA NDOGO HIVO HIVO HADI BAR MAID UKICHUKUA LAZIMA AKUKATE KUCHA USIKU!!! HOUSE GIRL NAE HAPO BADO!!!
INAITWA SURVIVOR OF THE FITTEST!!! (THE FIT AND ONLY THE FIT WILL SURVIVE!!!!)
Watu kwa kujifanya mambo ya kiswahili/ kichawi HAMYAPENDI wakati mmevamia thread kwa kasi!!! Kweli padri au mchungaji akikufuma unasoma thread kama hii utasemaje? Hahahaaaaa! Wajifunza ili usifanye? LOL!
Hii inshu ilitokea kitambo kidogo ila ni ndefu sana sasa naifupisha kisela!!!!
Mimi siamini katu katu katika ULOZI isipokuwa wapo watu wanayaabudu, i aint judging anyone!
Kimada wa bosi flani mujini hapa, BIG COMPANY, alinicosult kuwa anataka KUTAKE OVER POSITION YA WIFE WA BOSI, kachoka kuwa kimada, sasa mimi yule dada shosti wangu wa longi, alafu hapendi kuambiwa ukweli, hivo namsapoti tuu, ukizingatia bosi kampa LANDROVER DISCOVERY, na KAMPANGIA KUNDUCHI jumba lina mpaka swimming pool, aaah! mie niseme nini zaidi ya KUJIKOMBARIZE. Mjini Mipango! HAKUNA ALIYE MSAFI!!!!
Akaniomba shosti nisindikize pahala!!!!! Mie nikakubali! (USHOGA KAZIII ACHENI TUUU!) Sasa ameendeshaaa kuingia porini huko, Mi sikustuka nikajua ANAENDA KUNUNUA SHAMBA labda! Heee! Situkapaki kwenye kijumba kina TUNGURI!!! Tena bonge ya FOLENI! Ndo kustuka!
Sasa mi sikujua kama yule shosti BONGE YA DUUU VILEE kama nae anapulizia! Khaaaa! Mi sikujishughulisha ATA TAKE OVER kwa mbinu ipi! Kumbe SCIENCE ZA BABU!!! Tobaaaaa! Kiranga kikanitoka! Si ndo akaanza kunisimulia kuwa BIG BOSS Mambo yao hayaendi, tena kuna kina dalili ATATUPIWA VIRAGO KAMA KOCHA WA YANGA!!! MTUMEEEE! Wakati ilibaki kiduchu BIG BOSS AMUACHE MKEWE!!! Hivo kaja kurenew mambooo!!!!! Ndo nikajua kumbe kumpata pia alipita huku!!!! Nikabaki nimetumbua MIJICHO KAMA NIMEBANWA NA LANGO LA KANISA! (NASISITIZA USHOGA KAZIII!!!!)
Basi tukashuka si tukashuka, kutizama tu kwenye foleni tukamuona ANKO X!!!! Huyu ni engineer pale ofisini kwao, ila ANA KESI YA KUCHAKACHUA MIVUMBAAA YA PROJECT!!! Ndo KAJA KUFUTA KESI NA KUWAPUMBAZA MABOSI hivoooo! Jicho kidogo lidondoke!!! Alafu X ALISHTUKA SANA KUTUONA!!! Ila akazuga huku anagunaguna! Tukaketi kusubiri foleni!
HAMADIIIIIIII! Alietoka kwa mganga si MRS BIG BOSS MWENYE?!!!!!!!! Shosti kidogo AZIMIE!!! Uzuri Mama BIGBOSS hamjui shosti ila shosti anamjua mwenzie!!! Huyo kapita kapanda ndinga kasepa! Shosti ndo KUSHTUKIA KUWA ITAKUWA MRS BIG BOSS KAMZIDI VIPIMO VYA DAWA!!! LOL! Akawa anasonya double doule! Mi nikajua anko X alistuka nini!!!
YALIYOENDELEA NI SIRI YA KAMPUNI!!!
Hoja yangu!!! UKIWA NA FUBA KUBWA NI TABU SANAAAA! MKEO AKULISHE MAJI YA KUTAW*ZIA, NYUMBA NDOGO HIVO HIVO HADI BAR MAID UKICHUKUA LAZIMA AKUKATE KUCHA USIKU!!! HOUSE GIRL NAE HAPO BADO!!!
INAITWA SURVIVOR OF THE FITTEST!!! (THE FIT AND ONLY THE FIT WILL SURVIVE!!!!)