jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Kuna namna ambayo mjadala huu ulitakiwa uwe umeenda,lakini naona bado hatujafikia hapo.
Ninaweza kuwa na baadhi ya assumptions kuhusiana na ni kwanini bado hatujafika "Huko"
Nimegundua kuwa tamaduni zetu nyingi haziendani na the so called ethics...Mifano ni mingi lakini kwa haraka haraka ni mambo kama longevity ya breaks,utamaduni wa rushwa,wa kufanya mambo mengine yasiyohusu kazi wakati wa kazi nk.
Nimetoa mfano huo hapo juu ili kuelezea ni kwanini hatujafika "Huko" kwenye mjadala....Sasa naona nielezee kwa ufupi where is "Huko"
Moja tuna ule utamaduni wa kuwa jadili baadhi ya members wa society ambao ni watumishi wa umma ama wana madaraka kwa namna ya tofauti na wananchi wa kawaida pale inapokuja kwenye issue zinazowakabili,kwa mfano kuwaita wezi wa pesa wa wananchi "Mafisadi" na wananchi wanaokamatwa kwa wizi wa pesa za wananchi wenzao tunawaita just wezi ama viibaka ama majambazi,na kwa upande wa mafisadi due process yao certainly ni tofauti na ya wezi wengineo wa pesa za wananchi ie vibaka na majambazi, kwa kifupi wale wasiokuwa na wadhifa ama nafasi ya utumishi wa jamii ama wale wasiokuwa na madaraka wako treated tofauti hata kwenye mijadala na due process etc,na hivyo ufisadi ni kinga dhidi ya kuwa mwizi wa kawaida.
Back to the point hapa,kaa nilivyosema hapo awali,nilichelea kusema haya kwasababu nilijiuliza kama nifuate utamaduni wetu wa kutokuzungumzia mambo flani flani hadi hapo matanga yatakapokuwa yameanuliwa.
Hata hivyo kutokana na heading,habari hii imekaa kwa namna ambayo maswali ya nini hasa kilichotokea kupelekea msiba huo yanajitokeza kwa namna ambayo ni vigumu kuyafumbia macho.
Kwenye kesi kama hii,mtuhumiwa wa kwanza ni Mh Balozi Daraja,kwanza kabisa samahani kama kuna watakaokuwa wamekwazika kwa kusema haya kutokana na ukweli kwamba msiba huu umemgusa yeye kama mtu wa karibu zaidi kuliko mtu mwingine yeyote kwa victim...Hivyo hatua ya kwanza kwa wapelelezi ni kumwondoa mh Balozi kwenye utata wa aina yeyote kuhusiana na mauwaji hayo,then baada ya kumclear wana move kuangalia ni nani mwingine anayeweza kufanya mauaji hayo.
Wakati wanaangalia namna ya kum clear mume,wakati huo huo pia ni lazima waangalie motives zinazoweza kupelekea mauwaji hayo,kwamba ni nani atakayetaka victim huyo afe na ni kwanini ie atanufaika vipi na kifo hicho.
Mara nyingi kwa wenzetu wa west huwa wanaangalia kama kulikuwa na mahitaji ya pesa nk,halafu kama hitaji la pesa lilikuwepo,say this time kwa familia ama hata Balozi Daraja mwenyewe,then wanaangalia insurance policy waliyonayo ilikuwa ni ya kiasi gani,je amount ya insurance ni kubwa kiasi ambacho kinaweza kupelekea ushawishi wa mauwaji?Je alikuwa akihitaji pesa hizo?nk.
Hivyo basi long story short,kama ni kweli wana JF tunatakiwa tuende na upelelezi inavyotakiwa kwenye analysis hapa,tunagalie kwanza namna ya kum clear Mh Balozi Daraja kabla hata ya huyo msaidizi/house boy wtever!
Kwa hiyo sasa badala ya kusema ooh Balozi Daraja alitakiwa afanye hili ama lile,tunaangalia ni kwanini inawezekana alifanya/hakufanya hivi ama vile
Ninaweza kuwa na baadhi ya assumptions kuhusiana na ni kwanini bado hatujafika "Huko"
Nimegundua kuwa tamaduni zetu nyingi haziendani na the so called ethics...Mifano ni mingi lakini kwa haraka haraka ni mambo kama longevity ya breaks,utamaduni wa rushwa,wa kufanya mambo mengine yasiyohusu kazi wakati wa kazi nk.
Nimetoa mfano huo hapo juu ili kuelezea ni kwanini hatujafika "Huko" kwenye mjadala....Sasa naona nielezee kwa ufupi where is "Huko"
Moja tuna ule utamaduni wa kuwa jadili baadhi ya members wa society ambao ni watumishi wa umma ama wana madaraka kwa namna ya tofauti na wananchi wa kawaida pale inapokuja kwenye issue zinazowakabili,kwa mfano kuwaita wezi wa pesa wa wananchi "Mafisadi" na wananchi wanaokamatwa kwa wizi wa pesa za wananchi wenzao tunawaita just wezi ama viibaka ama majambazi,na kwa upande wa mafisadi due process yao certainly ni tofauti na ya wezi wengineo wa pesa za wananchi ie vibaka na majambazi, kwa kifupi wale wasiokuwa na wadhifa ama nafasi ya utumishi wa jamii ama wale wasiokuwa na madaraka wako treated tofauti hata kwenye mijadala na due process etc,na hivyo ufisadi ni kinga dhidi ya kuwa mwizi wa kawaida.
Back to the point hapa,kaa nilivyosema hapo awali,nilichelea kusema haya kwasababu nilijiuliza kama nifuate utamaduni wetu wa kutokuzungumzia mambo flani flani hadi hapo matanga yatakapokuwa yameanuliwa.
Hata hivyo kutokana na heading,habari hii imekaa kwa namna ambayo maswali ya nini hasa kilichotokea kupelekea msiba huo yanajitokeza kwa namna ambayo ni vigumu kuyafumbia macho.
Kwenye kesi kama hii,mtuhumiwa wa kwanza ni Mh Balozi Daraja,kwanza kabisa samahani kama kuna watakaokuwa wamekwazika kwa kusema haya kutokana na ukweli kwamba msiba huu umemgusa yeye kama mtu wa karibu zaidi kuliko mtu mwingine yeyote kwa victim...Hivyo hatua ya kwanza kwa wapelelezi ni kumwondoa mh Balozi kwenye utata wa aina yeyote kuhusiana na mauwaji hayo,then baada ya kumclear wana move kuangalia ni nani mwingine anayeweza kufanya mauaji hayo.
Wakati wanaangalia namna ya kum clear mume,wakati huo huo pia ni lazima waangalie motives zinazoweza kupelekea mauwaji hayo,kwamba ni nani atakayetaka victim huyo afe na ni kwanini ie atanufaika vipi na kifo hicho.
Mara nyingi kwa wenzetu wa west huwa wanaangalia kama kulikuwa na mahitaji ya pesa nk,halafu kama hitaji la pesa lilikuwepo,say this time kwa familia ama hata Balozi Daraja mwenyewe,then wanaangalia insurance policy waliyonayo ilikuwa ni ya kiasi gani,je amount ya insurance ni kubwa kiasi ambacho kinaweza kupelekea ushawishi wa mauwaji?Je alikuwa akihitaji pesa hizo?nk.
Hivyo basi long story short,kama ni kweli wana JF tunatakiwa tuende na upelelezi inavyotakiwa kwenye analysis hapa,tunagalie kwanza namna ya kum clear Mh Balozi Daraja kabla hata ya huyo msaidizi/house boy wtever!
Kwa hiyo sasa badala ya kusema ooh Balozi Daraja alitakiwa afanye hili ama lile,tunaangalia ni kwanini inawezekana alifanya/hakufanya hivi ama vile