Chiya Chibi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 484
- 110
Deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahh nani anasema mimi ni bakhili kama nini, lakini WIFE wangu anavaa si kawaida, mpaa wanawake wenzake wanaulizana, huyu huwa anafanyia shopping wapi.
Huwezi kunikuta nachezea pesa zangu kwa ujinga, zaidi ya kumpa starehe mke wangu na watoto zangu.
Nyie kalieni tu na ujinga eti wake wa mabakhili hawapendezi :biggrin1:
mi mi ngoja ninyamaze!
Ni kastor karefu
nimekakuta hapa mtaa, nimeshndwa kukaweka jamvin kwa muda huu, lakin Je
ni kweli ama uongo.?! Na vip mume wa bahili?! Au ni kamsemo ka upande
mmoja tu?! Jadili