RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,833
hata mimi nakosa jibu....Acheni chenga jamani angalieni na nyumba zenyewe..
hata mimi nakosa jibu....Acheni chenga jamani angalieni na nyumba zenyewe..
Hahahhahaha mtihani sanahata mimi nakosa jibu....
Mhhhhh ndo mambo ya kuishi maisha duniHujanielewa au? Ambae anaoa ndo mwenye haki ya kufatwa, anae olewa ni sharti afate matakwa ya Muoaji.
Mtu kulala sio kosa, ila umelala wapi na umelala na nani? Ndo kosa linapo anzia, Popote waweza kwenda wakaishi baada ya kujiuliza swali hilo kwanza.Mhhhhh ndo mambo ya kuishi maisha duni
Acheni wenye pesa waendelee kupendwa tu ndg msomaji
Bora mwanaume akuzidi