Mke Ni Pambo la Nyumba wanaume tuwe makini katika kuchagua wake. Kizazi hiki Mtihani ni mgumu zaidi

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Miaka yetu sisi mke alikuwa anaanza kufanyiwa interview toka akiwa mdogo. wazaz wanamuangalia mwenendo wake. jinsi anavyoenda kisimani kuchota maji, anavyoshirikiana na wenzie, shambani , anapofanya kazi zake nyumbani.walikuwa wanamwangalia kwa ukaribu sana na kumchunguza namna anavyoishi. ilikuwa wanaangalia kama ni mgomvi ,ana maneno maneno,mvivu,mchoyo n.k

so ikifika wakati wa kuoa wanakuita siku hiyo jioni wengine wote wanakuwa wameenda ndani mnakaa kuongea. mama anaanza kukwambia "sasa sisi tumekaa na kuona kuwa muda wako wa kuoa umekaribia, mwanetu unafaa kuwa na mwenzio. mwanze maisha maze mtuletee na sisi wajukuu kabla hatujafa. tumeangalia angalia sana hapa kijijini. mtoto wa mzee mwambulambo tunamwona ana tabia nzuri sana. ni msafi,ana adabu,mkarimu na anafanya kazi sana... tukaongea na wazazi wake wakatwambia wao hawana tatizo na ukoo wetu. na pia yule binti naye ni msomi kama wewe amemaliza kidato cha nne mwaka jana. kama upo tayari mwanetu tuanze kufanya mchakato uoe"

siku hiz mambo hayapo hivyo..ni hatari sana ndugu zangu. mnakutana tu mitaani huko,chuo,club,nyumba za ibada n.k hamfahamiani kabisa..mkidate siku mbili tatu basi unaona uoe. kuna shida kubwa sana ya wanawake wa siku hizi.ukianza kuzungumza naye anakufungia kibwebwe na kukupasha hasa.... anakupa vidonge vyako, anakuchamba ile mbaya. yaani mpaka unaishiwa maneno. na kukusonya juu. anakwambia usimtishe yeye anaweza akaishi bila wewe na kuna wanaume wengi tu wanamtaka...

kuna jamaa zangu baada ya kuoa hata urafiki ukaingia mashakani... unakuta jamaa kaona mke mswahili ile mbaya... hajui kujali rafiki za mumewe. hajui nini cha kuongea, hajui kutake care ya nyumba yake. unaona hapa shida mwishowe unakata mguu kumtembelea jamaa yako.

kuna wanawake wa mbeya, waongo,wafitini,wakuda, wadaku...yaani kila kitu yeye...na ndo unakuta ni mkeo au mke wa rafik yako. ukimwangalia mke wa rafik yako au mkeo magroup yake tu unachoka. ana group la kigodoro ana group la kusutana, ana group la habari ya mjini, ana group la lakhi si pesa, ana group la mkalia kigogo, ana group la kuuzia sura n.k

huyu unategemea atakuwa na akili nzuri kweli? sema tu we mwenyewe. mtu anakuwa kwenye group la kusaidiana namna ya kucheat waume zao, au group kujazana ujinga n.k kuna mambo ambayo unaweza waza ukagundua kizazi hiki kina shida sana zaidi ya unavyoona. wanawake wa siku hizi hata usafi wa ndani ni ngumu kwao.unaweza mwona nje huku ofisini ni msafi sana.nenda nyumban chumbani kwake utakimbia.

na sisi wanaume unapopata mke mwenye akili,busara na upendo mtunze. ukiona jamaa zako wanapenda kukutembelea na kumsalimia mkeo ujue ni sababu una mke mwema. inafikia mpaka jamaa wanakwambia usimwache mkeo, au umepata mke mwema... kwa ukarimu,adabu na kujiheshimu. mtunze mke ni pambo la nyumba. mke hapigwi, mkwe hatukanwi, mke anapaswa kuheshimiwa na kutunzwa kama mtoto mdogo.

nimeona tukumbushane tu hayo ndugu zanguni.
 
duh... gudume ukitulia unashusha point sana. sijui samtaim unakuaje.. ni kama mwezi mchanga...sometime yes sometime no. leo umeongea jambo moja la msingi sana.ingawa napata mashaka kama ni wewe umeandika hii thread maana hata matumizi yako ya lugha ni tofauti na ambavyo huwa nakusoma threads zako nyingi.ukiacha kutumia bhangi we ni kichwa kizuri sana... kumradhi lakini.

wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa sana. na wanaume wnaamua kuwa pasua moyo hivyo inakuwa ngoma draw. ila issues hizi zinatupa shida vijana na hasa wasiooa wengi wanaishia kukata tamaa na kuamua kuendelea kuwepo tu. nani anataka kufa mapema kwa presha?
 
Yaani ukifikiria ukuu wa mama na kumlinganisha na vidume kama hivi vya Dar es Salaam alafu mtu akamlinganisha na picha ya ukutani au bustani (pambo) inaacha maswali mengi aisee, itatuchukua muda Waafrika kuendelea!
 
Leo hujaniangusha kabisa bro.

Haya jamani wanaume mkipata wake wema muwatunze na kuwaheshimu , mwanamke naye saa nyingine anatakiwa afanywe kama mtoto mdogo sio nyie tu peke yenu pia msisahau mwanamke ni pambo.
 
Miaka yetu sisi mke alikuwa anaanza kufanyiwa interview toka akiwa mdogo. wazaz wanamuangalia mwenendo wake. jinsi anavyoenda kisimani kuchota maji, anavyoshirikiana na wenzie, shambani , anapofanya kazi zake nyumbani.walikuwa wanamwangalia kwa ukaribu sana na kumchunguza namna anavyoishi. ilikuwa wanaangalia kama ni mgomvi ,ana maneno maneno,mvivu,mchoyo n.k

so ikifika wakati wa kuoa wanakuita siku hiyo jioni wengine wote wanakuwa wameenda ndani mnakaa kuongea. mama anaanza kukwambia "sasa sisi tumekaa na kuona kuwa muda wako wa kuoa umekaribia, mwanetu unafaa kuwa na mwenzio. mwanze maisha maze mtuletee na sisi wajukuu kabla hatujafa. tumeangalia angalia sana hapa kijijini. mtoto wa mzee mwambulambo tunamwona ana tabia nzuri sana. ni msafi,ana adabu,mkarimu na anafanya kazi sana... tukaongea na wazazi wake wakatwambia wao hawana tatizo na ukoo wetu. na pia yule binti naye ni msomi kama wewe amemaliza kidato cha nne mwaka jana. kama upo tayari mwanetu tuanze kufanya mchakato uoe"

siku hiz mambo hayapo hivyo..ni hatari sana ndugu zangu. mnakutana tu mitaani huko,chuo,club,nyumba za ibada n.k hamfahamiani kabisa..mkidate siku mbili tatu basi unaona uoe. kuna shida kubwa sana ya wanawake wa siku hizi.ukianza kuzungumza naye anakufungia kibwebwe na kukupasha hasa.... anakupa vidonge vyako, anakuchamba ile mbaya. yaani mpaka unaishiwa maneno. na kukusonya juu. anakwambia usimtishe yeye anaweza akaishi bila wewe na kuna wanaume wengi tu wanamtaka...

kuna jamaa zangu baada ya kuoa hata urafiki ukaingia mashakani... unakuta jamaa kaona mke mswahili ile mbaya... hajui kujali rafiki za mumewe. hajui nini cha kuongea, hajui kutake care ya nyumba yake. unaona hapa shida mwishowe unakata mguu kumtembelea jamaa yako.

kuna wanawake wa mbeya, waongo,wafitini,wakuda, wadaku...yaani kila kitu yeye...na ndo unakuta ni mkeo au mke wa rafik yako. ukimwangalia mke wa rafik yako au mkeo magroup yake tu unachoka. ana group la kigodoro ana group la kusutana, ana group la habari ya mjini, ana group la lakhi si pesa, ana group la mkalia kigogo, ana group la kuuzia sura n.k

huyu unategemea atakuwa na akili nzuri kweli? sema tu we mwenyewe. mtu anakuwa kwenye group la kusaidiana namna ya kucheat waume zao, au group kujazana ujinga n.k kuna mambo ambayo unaweza waza ukagundua kizazi hiki kina shida sana zaidi ya unavyoona. wanawake wa siku hizi hata usafi wa ndani ni ngumu kwao.unaweza mwona nje huku ofisini ni msafi sana.nenda nyumban chumbani kwake utakimbia.

na sisi wanaume unapopata mke mwenye akili,busara na upendo mtunze. ukiona jamaa zako wanapenda kukutembelea na kumsalimia mkeo ujue ni sababu una mke mwema. inafikia mpaka jamaa wanakwambia usimwache mkeo, au umepata mke mwema... kwa ukarimu,adabu na kujiheshimu. mtunze mke ni pambo la nyumba. mke hapigwi, mkwe hatukanwi, mke anapaswa kuheshimiwa na kutunzwa kama mtoto mdogo.

nimeona tukumbushane tu hayo ndugu zanguni.
Acha mawazo mgando, a woman is not a commodity any longer
 
nimejaribu sana kutumia lugha nyepesi. kiswahili chepesi sana ambacho kuna mtoto wa mdogo wangu darasa la tatu ndo huwa natumia kuongea naye. sidhan kama kuna sehemu i have said that a woman is a commodity. if you show me i will apologise to them. cause i really do respect them. hapa nimetumia kiingereza kukuonesha hii ni lugha ninayoifaham vizuri sana. ndani nje. nmekua nikiitumia lugha hii. ila mwisho wa siku nakidumisha kiswahili.

tatizo kubwa sana la kizazi hiki ni Mkurupuko Disease... yaani hili limekuwa gonjwa kubwa na baya sana.tuvijana twa siku hizi hatutak kabisa kusoma kitu tukaelewa.tunawaweza kushika kamstari kamoja basi tukasimamia kucha kwa hako pasipo kuelewa content nzima yaani they dont read between the lines. sisi wasomi tunaita wengi wanafanya surface reading au kitaalamu inaitwa scanning reading.so hapo tu anaibuka na kakitu anataka kujaribu kujenga hoja inayoelea elea kama akili yake inavyoelea elea. ukisoma kwa umakini na kutuliza akili utaona kuwa nmemweka mwanamke kuwa ni wa thamani sana kusema pambo ni lugha ambazo sisi wenye akili ndo tunaweza kukufafanulia. ni pambo la nyumba sababu huwezi pata wageni kama una mke mwovu,asiye na busara,asiye na hekima,mhuni,mwongo,mchoyo n.k

mwanaume huwezi kuwa na pambo zuri la nyumbani kama mke mwema. ukiwa naye utawah kurudi nyumban,utamsaidia kazi,utamjali,utampenda na kumweshimu maana ni pambo la hapo kwako. sasa wewe unakurupuka na kuzungumzia mke kuwa ni commodity? wewe wa wapi wewe? mbona mnawapa walimu kazi kubwa hivi kuliko ya kubeba zege?

Acha mawazo mgando, a woman is not a commodity any longer
 
kule kwetu lukindo maana yake ni makapi ya chakula mtu alichokula baada ya kuwa digested kinatolewa msalaani.
nimejaribu sana kutumia lugha nyepesi. kiswahili chepesi sana ambacho kuna mtoto wa mdogo wangu darasa la tatu ndo huwa natumia kuongea naye. sidhan kama kuna sehemu i have said that a woman is a commodity. if you show me i will apologise to them. cause i really do respect them. hapa nimetumia kiingereza kukuonesha hii ni lugha ninayoifaham vizuri sana. ndani nje. nmekua nikiitumia lugha hii. ila mwisho wa siku nakidumisha kiswahili.

tatizo kubwa sana la kizazi hiki ni Mkurupuko Disease... yaani hili limekuwa gonjwa kubwa na baya sana.tuvijana twa siku hizi hatutak kabisa kusoma kitu tukaelewa.tunawaweza kushika kamstari kamoja basi tukasimamia kucha kwa hako pasipo kuelewa content nzima yaani they dont read between the lines. sisi wasomi tunaita wengi wanafanya surface reading au kitaalamu inaitwa scanning reading.so hapo tu anaibuka na kakitu anataka kujaribu kujenga hoja inayoelea elea kama akili yake inavyoelea elea. ukisoma kwa umakini na kutuliza akili utaona kuwa nmemweka mwanamke kuwa ni wa thamani sana kusema pambo ni lugha ambazo sisi wenye akili ndo tunaweza kukufafanulia. ni pambo la nyumba sababu huwezi pata wageni kama una mke mwovu,asiye na busara,asiye na hekima,mhuni,mwongo,mchoyo n.k

mwanaume huwezi kuwa na pambo zuri la nyumbani kama mke mwema. ukiwa naye utawah kurudi nyumban,utamsaidia kazi,utamjali,utampenda na kumweshimu maana ni pambo la hapo kwako. sasa wewe unakurupuka na kuzungumzia mke kuwa ni commodity? wewe wa wapi wewe? mbona mnawapa walimu kazi kubwa hivi kuliko ya kubeba zege?


Yaani ukifikiria ukuu wa mama na kumlinganisha na vidume kama hivi vya Dar es Salaam alafu mtu akamlinganisha na picha ya ukutani au bustani (pambo) inaacha maswali mengi aisee, itatuchukua muda Waafrika kuendelea!
 
Kipindi anakuheshimu na kukujali,kwa tabia zenu unaanza kumuona mmeo boya.

Utaanza kumfanyia visa kibao kisa anakupenda kukuheshimu na kukujali.

Nyie viumbe dawa yenu kuishi kininja tu.


hapa ndo kila mtu alivyo na akili yake ! hiv mume anijali kwa kila kitu nianze kumuona boya?? duh !
 
Leo hujaniangusha kabisa bro.

Haya jamani wanaume mkipata wake wema muwatunze na kuwaheshimu , mwanamke naye saa nyingine anatakiwa afanywe kama mtoto mdogo sio nyie tu peke yenu pia msisahau mwanamke ni pambo.

Mh hivi hao wanawake wema wanapatikana wapi cku hizi, inabidi emmyta uje na thread ya jins ya kumtambua mke mwema emmyta
 
Back
Top Bottom