Thanks mkuu umenifafanulia vizuri sana na nimeelewa
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya Tanzania..Act No. 5 of 1971 [CAP 29 RE:2002]
Kifungu cha 9 cha sheria hii kimeifafanua ndoa kama ifuatavyo.
Unapozungumzia mke katika ndoa ni yule ambaye mmefunga naye ndoa halali kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya Tanzania.
Mtu ambaye umezaa naye tu bila kufunga ndoa huyo si mkeo bali ni hawara (concubine), kuzaa nae hakufanyi uhusiano wenu kuwa na hadhi ya ndoa, hivyo ukitaka mtambulike kama wanandoa ni lazima mfuate taratibu za kufunga ndoa kama sheria inavyotaka.
Talaka inatolewa na mahakama kwa wale ambao ni wanandoa halali tu (wenye cheti cha ndoa) lakini hata hivyo kifungu cha 160(1) cha sheria hii kinasema hivi;
Kwa kutumia kifungu hiki basi, kama mmeishi chini ya paa moja kwa muda wa miaka miwili au zaidi na jamii inayowazunguka imekuwa ikiwatambua nyie kama wanandoa mahakama inaweza kuleta dhana ya ndoa kati yenu, lakini hii haitosaidia kupata talaka isipokuwa tu kama kuna chochote unachostahili kutokana na kuishi kwenu pamoja muda wote huo dhana hii inaweza kukusaidia kupata haki yako.
Bro.
swali moja hujajibu...
kuna sheria ya pre nuptial agreement hapa bongo????????
Duh kwa hiyo hata bila kuoa unaweza gawana mali????????????
Sasa buchanan na kama nimeoa mfano mmarekani au Muingereza
sheria inatumika ya wapi?