Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
- Thread starter
- #121
lakini petro hakuwa mtumishi wa shetani kwa tukio lile..ila shetani alimtumia ( quite confusing..)
Lakini Mungu ni mwema..kama mleta hoja anavyosisitiza, mtu mbaya hawezi kupita kwenye chekeche lake la kiroho..sijui ana vigezo gani, lakini anavijua mwenyewe, na wewe mpime kwa vigezo vyako
LD, Mungu halindwi na mabaya au makosa yaliyofanyika nyuma! Na wala njia zake siyo chache! Ikiwa Mungu alimponya mkoma kwa kumwambia aachovye vidole vyake kwenye bahar ile ni wangapi waliponywa kwa mtindo huo? Aliyeponywa akiomba sadaka langoni ni mmoja tu kwani walioomba sadaka ni alikuwa huyo tu? Aliyemkana Yesu ni mmoja tu kwani Yesu alikuwa na wanafunzi wangapi?? Yaliyopita zilikuwa ni njia za Mungu! NIKUPE SIRI UKITAKA KUFANIKIWA MAISHANI ACHANA NA MAMBO YA KUREFLECT KWENYE FAILURE ZA WATU ALIOPITA, JIFUNZE MAISHA YA YESU PEKEE SOMA MATHAYO, YOHANA NK KWA WINGI SANA! Usilazimishe unavyoelewa wewe iende hivyo! IMANI NI KITU KIKUBWA SANA NDIO MAANA UNAAMBIWA ANGALAU UKIWA NAYO TU KAMA CHEMBE YA HARADALI WAWEZA NG;OA MILIMA! NASI TWAONGOZWA KWA IMANI, IMANI YAKO, YANGU NA YULE HAZIWEZI KULINGANA HATA SIKU MOJA SO SIAMINI NA SITAAMINI UNACHOKISEMA ZAIDI YA KUSEMA MUNGU NDIYE KIONGOZI WANGU! HALLELUYAH!