LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Hakuna Amani kwa shetani dada yangu! shetani angekuwa na amani basi Libya pasingekuwa na vifo vya namana hiyo! uSIDANGANYWE NA MTU kama unaijua amani HAKUNA AMANI YA SHETANI! Tofautisha sana Amani, Imani, Furaha, Tamaa, Hamu nk
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja. Lakini kuna neno moja linasema Zijaribuni hizo roho!! Hata shetani anaweza kujigeuza kuwa kama Malaika wa nuru!! Na lingine linasema unabii lazima upimwe!! Huoni kama shetani anaweza kuja kwako/kwangu kama malaika wa nuru??