Mke: Natafuta mchumba/mke yaani ninahamu kweli ya kumiliki

Hakuna Amani kwa shetani dada yangu! shetani angekuwa na amani basi Libya pasingekuwa na vifo vya namana hiyo! uSIDANGANYWE NA MTU kama unaijua amani HAKUNA AMANI YA SHETANI! Tofautisha sana Amani, Imani, Furaha, Tamaa, Hamu nk

Nakubaliana na wewe asilimia mia moja. Lakini kuna neno moja linasema Zijaribuni hizo roho!! Hata shetani anaweza kujigeuza kuwa kama Malaika wa nuru!! Na lingine linasema unabii lazima upimwe!! Huoni kama shetani anaweza kuja kwako/kwangu kama malaika wa nuru??
 
Sifa zako ulizotoa ni nzuri ila hapa sijaelewa NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!
unamaanisha awe hajawahi kuchakachuliwa/bikira au wakati mkianza uchumba wenu bila kujali yaliyopita??wafafanulie wana JF
 
mkuu nimekukubali na kile unachokiamini.
Nimefurahishwa na sifa zako, na msimamo wako, ya kwamba ombi lako sio utani, unamaanisha na umejiandaa kukabiliana na changamoto. Yaani hapo kwenye criteria umechuja wengi sana.

LD, pia hongera zako kwa kumchallenge huyu jamaa.. hebu muwasiliane vizuri

Mungu awe nawe mkuu, na atimize haja ya moyo wako!
Neno la Mungu linasema wanaamani wale wanaomtuamini Mungu wa Ibrahim. There is a way for you.
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja. Lakini kuna neno moja linasema Zijaribuni hizo roho!! Hata shetani anaweza kujigeuza kuwa kama Malaika wa nuru!! Na lingine linasema unabii lazima upimwe!! Huoni kama shetani anaweza kuja kwako/kwangu kama malaika wa nuru??

Endelea kumhoji.. usipote bahati yako,lol...
 
Endelea kumhoji.. usipote bahati yako,lol...

Bwana Yesu asifiwe Mpendwa, habari ya uzima?? Mi namuuliza tu kwa upendo wa Agape my dear!! Sidhani kama kuna zaidi ya hapo kwa kweli!!!!
 
Bwana Yesu asifiwe Mpendwa, habari ya uzima?? Mi namuuliza tu kwa upendo wa Agape my dear!! Sidhani kama kuna zaidi ya hapo kwa kweli!!!!

Amina dada LD,
Na wewe Bwana Yesu asifiwe,
Njia za Mungu si njia za wanadamu, mawazo yake ni kutupatia mema sisi waja wake..
Nafikiri nia ya mleta mada ni yeye kupata upendo wa Agape, awe nao nyumbani kwake. lol..
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja. Lakini kuna neno moja linasema Zijaribuni hizo roho!! Hata shetani anaweza kujigeuza kuwa kama Malaika wa nuru!! Na lingine linasema unabii lazima upimwe!! Huoni kama shetani anaweza kuja kwako/kwangu kama malaika wa nuru??

Hahahahahaha unanifanya nifurahi sasa! Imeandikwa akija umshinde kwa Neno! si uliona Yesu alivyomshinda shetani? ahahahaha hiyo ni rahisi sana!
 
Amina dada LD,
Na wewe Bwana Yesu asifiwe,
Njia za Mungu si njia za wanadamu, mawazo yake ni kutupatia mema sisi waja wake..
Nafikiri nia ya mleta mada ni yeye kupata upendo wa Agape, awe nao nyumbani kwake. lol..

Wewe ni mtu mwema
 
mkuu nimekukubali na kile unachokiamini.
Nimefurahishwa na sifa zako, na msimamo wako, ya kwamba ombi lako sio utani, unamaanisha na umejiandaa kukabiliana na changamoto. Yaani hapo kwenye criteria umechuja wengi sana.

LD, pia hongera zako kwa kumchallenge huyu jamaa.. hebu muwasiliane vizuri

Mungu awe nawe mkuu, na atimize haja ya moyo wako!
Neno la Mungu linasema wanaamani wale wanaomtuamini Mungu wa Ibrahim. There is a way for you.

Nikitazama wewe ni mtu mwenye upendo wa Mungu hivyo unaweza kuwasaidia hata wengine nikiwemo mimi, Baraka ziwe nawewe!
 
Sifa zako ulizotoa ni nzuri ila hapa sijaelewa NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!
unamaanisha awe hajawahi kuchakachuliwa/bikira au wakati mkianza uchumba wenu bila kujali yaliyopita??wafafanulie wana JF
Kiswahili cheupe ndugu yangu! Hakuna kufanya ngono kabla ya ndoa yaani wakati tukiwa wachumba isije ikawa nataka kutest noooooooooooooooo!
 
Watu mnashangaza kweli!Sifa gani hizo zisizopatikana kwa wanawake wasiojiuza?Uzuri wa sura?Umri 21-24?Elimu ya kuanzia form4?Kama hupendi thread ya mtu ni bora kuipotezea kuliko kuandika uzushi!Kuna wazuri wangapi wametulia na waume zao..na wengine wapo wanasubiria kuwapata!!

Lizzy,

Nadhani sifa za anayetafutwa haujasoma zote:
Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa:
i. Mlokole wa kweli
ii. Kati ya 21 hadi 24
iii. Akiwa mweupe ni extra sifa
iv. Awe na shule kuanzia FM4 na kuendelea
v. Awe na kazi/uchumi asiwe golikipa.
vi. Siyo siri napenda awe mrembo tena haswaaaaaaa!
vii. Awe tayari kufahamiana namimi kwa kina NGONO KABLA YA NDOA HAIPO!

Sifa za Zinazopewa kipaumbele.
i. Ulokole wa kweli
ii. Maono ya kumtumikia Mungu
iii. Idea ya kuwa Mama Mchungaji

Soma moja moja sasa na kutafakari - Acha jazba!
 
mkuu hongera kwa idea yako nzuri na maono yako.
ktk kutafuta kwako aliyekamilika fahamu akuna aliyemkamilifu ata mmoja namaanisha na ww. unaitaji asiyekamilika ili akamilishe yale mapungufu yako.
kuhusu mlokole wa kweli cjui unakipimo gani kwani kila mlokole ni mlokole wa kweli na usisahau wokovu ni siri ya mtu na mungu ata shetani anauwezo wakuwa mlokole safi.
unahitaji mungu kwani mungu tangu ampe adamu mke na mke alipokosea adamu akamwambia mungu ni huyu mke ulonipa, mungu akasema mtu na atafute mke ndio mana bibilia inasema apatae mke apata kitu chema na kibali mbele za mungu so kunakutafuta na hili lakutokujuana ucpokuwa makini utabeba kimeo mfano kama ulompenda anajinsia mbili na ww ukutaka kuchunguza tangu mwanzoni utafanyaje?

Mungu alisema kabisa, ikiwa ninyi watoto wenu wakiwaomba Samaki hamuwezi kuwapa nyoka je kulikoni mimi Baba yenu? Aombaye kwa Imani kupitia Jina la Yesu atapewa ili mwana atukuzwe ndani ya Baba!
 
Mungu alisema kabisa, ikiwa ninyi watoto wenu wakiwaomba Samaki hamuwezi kuwapa nyoka je kulikoni mimi Baba yenu? Aombaye kwa Imani kupitia Jina la Yesu atapewa ili mwana atukuzwe ndani ya Baba!

Hivi hapo Dodoma hamna "Night Clubs"? Nenda UDOM au CBE, chukua "mrembo" kaoe! Hapa kwenye Kurasa za mitandao unapoteza muda!
 
Lizzy,

Nadhani sifa za anayetafutwa haujasoma zote:


Soma moja moja sasa na kutafakari - Acha jazba!


Unavyotafsiri sivyo ndugu yangu! Nisawa na neno la Mungu unaweza kusoma ukatoka na idea tofauti kabisa, ila akisoma mwingine anapata picha tofauti na wewe! Wacha wa Mungu wasome na kuelewa usiwalazimishe waelewe kama ulivyoelewa wewe!
 
kuna swali najiuliza kila siku sipati jibu ila naona jambo hili linajirudiarudia kila siku,hivi kwa maisha yetu tunayoishi tumefikia hatua hii ya kutafuta wenza kwenye mitandao au kuna kilichojificha nyuma ya pazia:rain:
 
Hivi hapo Dodoma hamna "Night Clubs"? Nenda UDOM au CBE, chukua "mrembo" kaoe! Hapa kwenye Kurasa za mitandao unapoteza muda!

mnh kwani humu hamna warembo?? mbona mnamchallenge kaka wa watu kisa kasema ni mtumishi wa mungu???!!!....yeye 'amefunuliwa' wa ubavu wake atampata mtandaoni haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! lol:decision::spider::spider::spider:
 
Unavyotafsiri sivyo ndugu yangu! Nisawa na neno la Mungu unaweza kusoma ukatoka na idea tofauti kabisa, ila akisoma mwingine anapata picha tofauti na wewe! Wacha wa Mungu wasome na kuelewa usiwalazimishe waelewe kama ulivyoelewa wewe!

Acha kuchangamsha jamvi wewe - Kwa kuwa una domo zege ndiyo unilazimishe kuwa Wa-Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom