Mke na Mume(WANANDOA)

Wanawake ni wakorofi sana especially kama baba anadrive...Lazima atakusahihisha bila sababu njiani!...aaahh... pitia njia ile mi nina haraka bana, mara..aahh si unaona sasa tumezibwa...mara bwana unakimbiza sana, hatuna haraka hiyo!, mara nipeleke kwa nanihino, halafu unifuate baada ya nusu saa!..!
Kwahiyo safari inakuwa full-boring, na at least ukiuchuna unakwepa mambo mengine!
Sifahamu sana kuhusu nyumba ndogo!
Man sometimes it is OK to call a spade a big spoon ...................hhah
 
"Matata ya muke na Mume usiingilie pilipilii usiokula ina kuwashia nini" Simba Mapangala
 
Maongezi na "nyumba ndogo" yako kwenye "buffer"! - yanaongelea bia, nyama choma, gari zuri, shopping, and all sort of temporary "shit*" - overnight stories BASI!!!!!!! Maongezi kati ya mume na mke yapo kwenye "ROM" - ni maongezi ambayo yanaweka sawa mustakabali wa maisha in the next 20 or 30 or even 50 years to come - it is not somethng than you can "ENJOY"!
 
images
Hawa nanaonekana ni mtu na mkewe, baada ya safari na maongezi kuwa sio mazuri kila mtu anampa mwenzake mwelekeo.


images
Hapa jamaa hana habari kabisa na mkewe, anatamani safari imalizike apaki gari apumzike

images
hapa anaonekana huyu kama kimada wa nje, kicheko na maongezi mengi.

images
Huyu jamaa inaonyesha yuko spidi mbaya afike haraka maana kakerwa kishenzi na mkewe
 
maongezi na "nyumba ndogo" yako kwenye "buffer"! - yanaongelea bia, nyama choma, gari zuri, shopping, and all sort of temporary "shit*" - overnight stories basi!!!!!!! Maongezi kati ya mume na mke yapo kwenye "rom" - ni maongezi ambayo yanaweka sawa mustakabali wa maisha in the next 20 or 30 or even 50 years to come - it is not somethng than you can "enjoy"!

yes we can....
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom