GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 6
Man sometimes it is OK to call a spade a big spoon ...................hhahWanawake ni wakorofi sana especially kama baba anadrive...Lazima atakusahihisha bila sababu njiani!...aaahh... pitia njia ile mi nina haraka bana, mara..aahh si unaona sasa tumezibwa...mara bwana unakimbiza sana, hatuna haraka hiyo!, mara nipeleke kwa nanihino, halafu unifuate baada ya nusu saa!..!
Kwahiyo safari inakuwa full-boring, na at least ukiuchuna unakwepa mambo mengine!
Sifahamu sana kuhusu nyumba ndogo!