NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 630
Kwa asilimia kubwa wanandoa wakiwa wanaelekea kazini/mahala kwa wale waliojaliwa usafiri/gari huwa wanauchuna ndani ya gari sana. Nimekuwa nikijiuliza hivi kwa nini? hata ukibahatika siku hio ukapewa lifti utadhani wana ugomvi au hawakupenda wewe upande gari yao. Hasa kwenye hizi foleni za dar kwa unaowafahamu utaona uso mkavu na mzito kama mjeshi alie retire wa kikosi cha vita.
Lakini umkute mwanandoa huyo hasa wa kiuume amempakia kimada/nyumba ndogo OMG utaona meno yoote nje na uso wenye matumaini wa kuimaliza siku kwa furaha. Kama ni pikipiki basi kimada anamkumbatia dereva/mume wa mtu kwa nyuma mpaka karibu mtu atapike ini, akiwa ni mke kapakiwa anakaa mzungu wa 4 kabisa na wala hakamati kwa furaha
Hivi wadau na nyie mmewai ku observe hii kitu? na kwa nini mtu msiwe na furaha mkiwa pamoja au ni ka principle ka ndoa ukiwa na mwanandoa mwenzio lazma ukunje uso ili akuone uko serious na marriage life?
Lakini umkute mwanandoa huyo hasa wa kiuume amempakia kimada/nyumba ndogo OMG utaona meno yoote nje na uso wenye matumaini wa kuimaliza siku kwa furaha. Kama ni pikipiki basi kimada anamkumbatia dereva/mume wa mtu kwa nyuma mpaka karibu mtu atapike ini, akiwa ni mke kapakiwa anakaa mzungu wa 4 kabisa na wala hakamati kwa furaha
Hivi wadau na nyie mmewai ku observe hii kitu? na kwa nini mtu msiwe na furaha mkiwa pamoja au ni ka principle ka ndoa ukiwa na mwanandoa mwenzio lazma ukunje uso ili akuone uko serious na marriage life?