Je ni nani mwenye makosa,je ni mume anaetambua kabisa yeye ni mume wa mtu anaekwenda kumtongoza mke wa mtu na kwenda kuvuana nguo au ni mke wa mtu anaetambua yeye ni mke wa mtu aliyelipiwa ng'ombe 20 au pesa taslim sh milioni moja,anakubali kwenda kutoa nguo zake zote mbele ya jamaa mwingine?Yupi ni mjinga hapa??