Talaka ya njni???Huyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Wamechokana tayari hapoSema jamaa naye hataki kuomba msamaha mpaka nimeona niirushe huku. Jamaa mtata kinoma
Mwanaume kuomba msamaha ni kosa kubwa sana. Asisubutu kufanya huo ujinga, asikilize wimbo wa Shaggy "It wasn't me" mwanaume halisi hatakisi kuomba samahani hata kama ukutwe juubya kiunoDah! Hii ngumu kidogo...
Kwani, hii ndoa ni ya muda gani? Anyway, ni rahisi kuomba msamaha na ni rahisi kuchukua maamuzi magumu kama kuachana na mtu wakati mtu yupo kwenye hasira. Kwenye dunia mengi hutokea ya kumstusha mwanadamu lakini muda hua unasaidia katika kusahau!
Kuna ndoa nyingi mtaani zinasonga kwa sababu wanandoa wana mambo yao pembeni. Wakifika home, mambo shwari. Ndio fomula ambayo inasukuma gurudumu lao.
Ila kwa huyu jamaa, kwa kuwa taa imeangukia kwake (maana hatujui ya mwenzake), basi aombe msamaha lakini pia akiri kosa. Ila mpaka amefikia huko (kuchukua mzigo mwingine), kidogo hii inahitaji itazamwe kiroho zaidi na sio kibinaadam.
Pagumu!
As the way you areMost JF people especially MMU are either stupid or foolish.
Wewe unaufahamu wa family Law?Huyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.
Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
Toa picha yako tukujengee sanamu yako pale Posta ya zamani.Huyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
😬😬unatakiwa ukatae mpaka mwisho.?
PointUmeona balaa hilooo jamaa tulishamwambia demu wa kuchukua humpeleke geto ni kosa maana wakati mwingine atakuibukia muda ambao upo na mke wako
Mkuu naona wewe unataka kuzua mjadala mwingine hapa ,, hebu jikite kwenye mada tafadhali!Kiukweli watumishi wengi waliohamia Dom na kuacha wake zao Dsm,wengi wao wanachepuka....na huo ndio ukweli ndu zanguuuuu.
NakaziaKumwomba msamaha mwanamke kwa kosa la kukutwa na mwanamke ni udhaifu!!!
Mwanaume mwenye akili hawezi kukubali kulala kwa demu, labda awe anamjua sana na zaidi ya sanaMfuate kwake na kama ni mchepuko wa kudumu top ya rent yake. Kama huwezi fharama nunua sabuni ya dove.
😂😂😂 Oooh hallelujahTalaka ya njni???
Wakati alitakiwa ajirudie dar avute serengeti mmoja mtaaaaaaaaaaaamu anayejua kusimamia ukucha ale maisha.......
And if she claim, you tell her, Baby no way!😬Yo
(Open up, man) What do you want, man?
(My girl just caught me) You let her catch you?
(I don't know how I let this happen) With who?
(The girl next door, you know) Man
(I don't know what to do) Say it wasn't you
(Alright)
Kwenye vikao huwa wanadanganyana mwanaume kuomba msamaha ni uboya eti, wanatakiwa kujimwambafai.....Kwa ufupi jamaa kamchoka mkewe. Angekua anampenda angeomba msamaha haraka sana