Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
<br />ndio kwanini asijue, kama anaweza kuujua mwili wako kwa nini asijue mshahara wako,
<br />
nashukuru mkuu naona point yako iko positive, kwamba ni muhimu kujua.
<br />ndio kwanini asijue, kama anaweza kuujua mwili wako kwa nini asijue mshahara wako,
<br />Kama simu kugusa marufuku mshahara aujue wa nini?
Kama simu kugusa marufuku mshahara aujue wa nini?
ahahahahaaaaaaaaaaaaaa!...good Nyani Ngabu_you real made ma day
ahahaha ni kweli mkuu ndo mana hata ile salary slip unakabithiwa mwenyewe, anyway ngoja tuwasubir wachangiaji wengine wana tuone wana mawazo gn
<br /> <br / br?br!br!br?kama mwanaume ulivyo wewe ni kichwa cha familia ni lazima ujue unayetaka kumuoa unaoa mshahara au unaoa mke kwa maana kwenye ndoa ni tofauti kabisawadau, mimi sijaingia kwenye ndoa bado. Hili swali nalielekeza kwa wenye ndoa zaidi ili kupata mwanga kwenye hili, je ni muhimu au haina haja ya mwenzi wako kujua mshahara wako?
mimi sijaingia kwenye ndoa ila mimi nitamkabidhi mshahara wote kabisa lakini anipe matumizi yote bahati mbaya matumizi yangu ni mara 3 ya mshahara wangu
Ni muhimu sana kwa ajili ya kujipangia mikakati yenu ya kimaisha, pia kwa wale wasioaminiana kujua matumizi ya mwenzio kunaweza kukufanya umjue ni mtu wa aina gani kwa haraka. Kwa mfano, unaishi na mtu analipwa take home 1,000,000/= then kipato chake hakionekani kabisa na hujui fedha yake anafanyia nini. Kutaka kujua kipato kinakwenda wapi inaweza ikwa ni mwanzo wa kuvumbua maovu yake!!
NB: Mwanamke anaweza kujua kipato cha mumewe but ni kawaida kwa wanaume kutokujua vipato vya wake zao!!!
hata akiwa bilionea ni zake,achangie za nini??? Nimemuoa amenioa???baadhi ya wanawake wa siku hizi ana kazi nzuri kuliko yako, lakini hawachangii hata senti.
uzuri wa mke kujua salary yako ni kuwa hawezi kudemand zaidi ya unachopata.kama simu kugusa marufuku mshahara aujue wa nini?
mshahara wa mme ni wa mke pia ila wa mke ni wake mwenyewe hio ni sheria
Naomba busara zenu wanaJF wenzangu. Ati ni haki ya mke kujua kila senti iingiayo mfukoni mwa mume kama kipato?