Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,492
You all wrong!....kutwa kukaa na kuwasema wanawake haijalishi ni wa rangi gani....hivi mnadhani hata nyie wanaume hamnuki?....hakuna watu wachafu kama wanaume!...hebu acheni kusema wanawake na kuja na mambo yenu huko awe mchafu sijui haogi ananuka so what?....Hapa watu wanapiga domo weeh na ukute ni wachafu mbaya sana na maji mara moja akigusa paja kesha chojoa maana watu wanaopenda sana kuongea sanaaaa most of the time ni wabovu kabisa.....kama mchafu au ananuka si umfundishe jamani eeh. You need to respect women.....for god sake hujasikia mwanamke akimsema mwanaume hata kama alimfanya matusi vibaya....You all sick kichwani....
Shem kwani wewe ni mzungu....duuu! Nachukia midhungu ina mambo ya ajabu