Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,492
Mkuu Masanilo chonde chonde baba wenyewe wasikusikie,alosema hawaogi nani?
Ndugu yangu hawaogi na miswaki kwao ni hadithi......mtu anaamka na chocolate na kujipulizia perfume ....loooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Masanilo chonde chonde baba wenyewe wasikusikie,alosema hawaogi nani?
Weusi wote vinuka mkojo na vikwapa....Lol
Hapana mkuu nazungumzia uzoefu! walio wengi ni hivyo, alikuwa ananishangaa kwanini naoga kila siku nataka kuwa mzungu kama yeye? uliza wanaoishi na wazungu ndugu! Umeenda mbali kule uislam na weusi kwenye IQs
Masanilo we kiboko,acha kutuvunja mbavu bana!Wala usikonde wewe ni PM nitakuwa nakuchekesha zaidi hahahaahah...Kuna tetesi hapa Mjini Yo Yo amehusishwa na ugaidi ....!
Ha ha ha ha ha Mkuu naona umeanza tena shughuli zako ....kwani nanihii uliyokuwa unaipigia debe umeshaachana nayo!? LOL!
Kule is for real kwingine huku tunazuga zuga!
Komredi unaharibu bana wazungu kutokana na data za Yo Yo wananuka sana
Hapana mkuu nazungumzia uzoefu! walio wengi ni hivyo, alikuwa ananishangaa kwanini naoga kila siku nataka kuwa mzungu kama yeye? uliza wanaoishi na wazungu ndugu! Umeenda mbali kule uislam na weusi kwenye IQs
Kwenye kujiexpress vp kwa wazungu mkuu?
Shemeji yako Mzungu na sio wa makaratasi wala kibonge ni mapenzi tu, lazima nimtetee! na mapenzi ni motomoto sawa tu au kuliko weusi niliokuwa nao kabla.
Sorry napunguza ukali shemeji asichukie....ila tafuta kipoozeo, Black coffee, black tea....
Unajua mademu wengi wa kibongo hawapaki deodorant...sijui kwa nini tu aisee.
Ha ha haa baya zaidi anatema kiswahili na humu anatembelea!
Ramani naweza mwaga hazarani tatizo ni kina Shigongo hawakawii kuokoteza mabrekingi stori na mabrekingi nyuzi,si unajua hawaishi kuvinjari ndani ya jf Mkuu? si unajua siku hizi jf imekuwa chanzo kikuu cha habari inji hii? au hujagundua hilo Mkuu? umesahau Shigongo alivyotuharibia kijiwe chetu cha wachina pale jirani na Rose Garden,halafu sijui alipata faida gani, na siku nyingine ashindwe na alegee!Toa ramani mkuu maana wale ni full kujiexpress kama kawa wazawa.
Hawajui kitu mazee kwanza ring zao zimelegea na kwenye K ni baridi
hehehehe yeah hii ipo sana unakuta kwa duu ananukia safi lakini ukienda kumega dah chumba kinachafua hali ya hewa.
Hehehehe...halafu mademu weusi wananuka midomo. Hawajui kupiga mswaki...wao wanasugua meno tu basi. hawakwangui ulimi, fizi, na paa la mdomo (roof of the mouth). Hawaendi kwa waganga wa meno kusafishwa meno yao. Hawa floss, hawatumii mouthwash....yaani vurugu mechi tu
Mkuu Julius polepole this is from one extreme to another tuweke balanceHehehehe...halafu mademu weusi wananuka midomo. Hawajui kupiga mswaki...wao wanasugua meno tu basi. hawakwangui ulimi, fizi, na paa la mdomo (roof of the mouth). Hawaendi kwa waganga wa meno kusafishwa meno yao. Hawa floss, hawatumii mouthwash....yaani vurugu mechi tu